Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja

Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja

Nitasaka sema sasa nawaza simh ipi nzur hapo nikae pixel sizielew nina allergy na dialler na sms app ya gugo , (na ndio affordable),iPhone nazipenda ila sina uwezo wa kuafford kwa sasa kuanzia 13kuendelea ndio nawaza , sharp vile vile zina ugonjwa huo huo wa gugo sijui nikae brand ipi affordable yenye esim ata mtumba Chief-Mkwawa waeza shauri nn hapa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-05-31-00-30-21-109_com.android.chrome-edit.jpg
    Screenshot_2024-05-31-00-30-21-109_com.android.chrome-edit.jpg
    40.9 KB · Views: 30
WADAU NI ESIM YA NCHI GANI ITANIPA DATA KWA UNLIMITED KWA MWEZI PENGINE KWA PRICE ISIOZIDI 30K TZS AU HATA GB KADHAA KUAZIA MIA HIVI AU KUZIDI
mkuu naona zote ziko juu,,sio chini ya dola 40, moldova ina dola 42 ambayo naona angalau...hizi data zingekua zimeregezwa tungekimbilia eSim
 
WADAU NI ESIM YA NCHI GANI ITANIPA DATA KWA UNLIMITED KWA MWEZI PENGINE KWA PRICE ISIOZIDI 30K TZS AU HATA GB KADHAA KUAZIA MIA HIVI AU KUZIDI
jaribu hii naona kama ni angalau kodogo..iko kwenye Yesim
 

Attachments

  • Screenshot_20250115-234850.png
    Screenshot_20250115-234850.png
    208 KB · Views: 9
mkuu naona zote ziko juu,,sio chini ya dola 40, moldova ina dola 42 ambayo naona angalau...hizi data zingekua zimeregezwa tungekimbilia eSim
Hii bado ni gharama kubwa sana ,dola 40 ni laki na nusu bora tubaki na router zetu ila wakongwe wana vpn wanadai pia ni kua wanakula sana maisha na vpn za nje kupitia esim na reliable zaidi kuliko bongo yetu hii.Tusiojua lolote tubaki njia kuu.
 
Hii bado ni gharama kubwa sana ,dola 40 ni laki na nusu bora tubaki na router zetu ila wakongwe wana vpn wanadai pia ni kua wanakula sana maisha na vpn za nje kupitia esim na reliable zaidi kuliko bongo yetu hii.Tusiojua lolote tubaki njia kuu.
Inaitajika darasa.
 
Inaitajika darasa.
Sio rahisi kukupa mana watu wanaleta mambo ya tukose wote baada ya kupewa darasa ila vpn naamini watu wanakula maisha fresh.

Tena sio hizi tunazo zijua
Karibuni watu wa vpn mshushe madude 😌
 
Sio rahisi kukupa mana watu wanaleta mambo ya tukose wote baada ya kupewa darasa ila vpn naamini watu wanakula maisha fresh.

Tena sio hizi tunazo zijua
Karibuni watu wa vpn mshushe madude 😌
Naombà connection
 
Back
Top Bottom