Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajaribu hii kituPlay store kuna app zinauza internet very cheaper,simu yako kama inasapoti Esim unachotakiwa kuinstall hiyo app itakupa maelekezo na unalipia kwa kwa visa card,master card nk
ni hizi hizi mkuu ndio wana esim,nyingine bado nadhan wako mbioniNawishi kupata esim je ni kampuni zipi zina esim kwa sasa au ni hizi kongwe tatu tu ,yaan voda airtel tigo
Mkuu labda tunatofautiana uelewa wa neno cheaper. Cc Chief-MkwawaPlay store kuna app zinauza internet very cheaper,simu yako kama inasapoti Esim unachotakiwa kuinstall hiyo app itakupa maelekezo na unalipia kwa kwa visa card,master card nk
nilipitia hizi cost nikaona ziko juu sana angalau package nyingine ni unlimited,ingekua cost haziko juu ni mserereko tuMkuu labda tunatofautiana uelewa wa neno cheaper. Cc Chief-MkwawaView attachment 3004243
Je kwa mwenye laini nne afanyeje?yeah unaweza tumia eSim mbili kwa wakat mmoja lakin kama simu yako inasapoy 2 eSim,kama inasapot 1eSim haiwez sapot, kurudia unaweza irudia ni kama tu unrenew physical sim
Unaweka zote zinakua esim ni rahisi ku tune from one to anotherJe kwa mwenye laini nne afanyeje?
mkuu naona zote ziko juu,,sio chini ya dola 40, moldova ina dola 42 ambayo naona angalau...hizi data zingekua zimeregezwa tungekimbilia eSimWADAU NI ESIM YA NCHI GANI ITANIPA DATA KWA UNLIMITED KWA MWEZI PENGINE KWA PRICE ISIOZIDI 30K TZS AU HATA GB KADHAA KUAZIA MIA HIVI AU KUZIDI
jaribu hii naona kama ni angalau kodogo..iko kwenye YesimWADAU NI ESIM YA NCHI GANI ITANIPA DATA KWA UNLIMITED KWA MWEZI PENGINE KWA PRICE ISIOZIDI 30K TZS AU HATA GB KADHAA KUAZIA MIA HIVI AU KUZIDI
Hii bado ni gharama kubwa sana ,dola 40 ni laki na nusu bora tubaki na router zetu ila wakongwe wana vpn wanadai pia ni kua wanakula sana maisha na vpn za nje kupitia esim na reliable zaidi kuliko bongo yetu hii.Tusiojua lolote tubaki njia kuu.mkuu naona zote ziko juu,,sio chini ya dola 40, moldova ina dola 42 ambayo naona angalau...hizi data zingekua zimeregezwa tungekimbilia eSim
Inaitajika darasa.Hii bado ni gharama kubwa sana ,dola 40 ni laki na nusu bora tubaki na router zetu ila wakongwe wana vpn wanadai pia ni kua wanakula sana maisha na vpn za nje kupitia esim na reliable zaidi kuliko bongo yetu hii.Tusiojua lolote tubaki njia kuu.
Sio rahisi kukupa mana watu wanaleta mambo ya tukose wote baada ya kupewa darasa ila vpn naamini watu wanakula maisha fresh.Inaitajika darasa.
Naombà connectionSio rahisi kukupa mana watu wanaleta mambo ya tukose wote baada ya kupewa darasa ila vpn naamini watu wanakula maisha fresh.
Tena sio hizi tunazo zijua
Karibuni watu wa vpn mshushe madude 😌
Me sina mkuu nmejaribu kuomba wanataka hela ndefu.Naombà connection