Teknolojia ya kumfufua binadamu aliyekufa...

Nyie ndio maadui wa Tanzania, kazi kuombea wenzenu wafeli ili nyie muchekee mafisi

Sikia wewe,Mimi siwezi kuwa Adui kwenye Nchi yangu
Huo ndiyo ukweli.tulitaka Rais mwenye vision siyo waluwalu.
Mbona nyumba za serikali alizouza Hajazirudisha?
 
Huu ni Ujinga uliopitiliza. Ningekua Admin hapa ningefuta thread na ningewapa ban wote mliochangia huu ujinga.
 
Kama wata mrudisha bila memory yake ya zamani basi amekufa tu.

Nadhani kama watafikia kiwango cha copy memory na kustore mahali ufanyaji kazi wa akili ya Binadamu hai wa sasa watakuwa wamepiga hatua kubwa mbele hata kama ni kwa kiwango cha kumbukumbu ya yaliyopita na si yajayo!
 
You don't need a gang to be successful. You only need a single smart brain.
 
You don't need a gang to be successful. You only need a single smart brain.

I really Appreciate your comment
But Remember death is Grand Mystery,so Extraordinary claim like this one require Extraordinary effort,professionals,Money etc.
And not group of five individuals
 
Last edited:
Huu ni Ujinga uliopitiliza. Ningekua Admin hapa ningefuta thread na ningewapa ban wote mliochangia huu ujinga.
Kama huu no ujinga basi ukiana posti za k 4 real. Mshana Jr. Appolo. Utaita upumbavu kabisa.
 
Sikia wewe,Mimi siwezi kuwa Adui kwenye Nchi yangu
Huo ndiyo ukweli.tulitaka Rais mwenye vision siyo waluwalu.
Mbona nyumba za serikali alizouza Hajazirudisha?
dawa ya ukweli ongea kwa kingereza hauumi
 
Sasa hao wanafufua au wanatengeneza cyborg? Maana suala la kufufua ni la Mwenyezi Mungu pekee,hakuna kiumbe yeyote (si mwanadamu pekee) awezae hilo.
 
nadhani penye utata ni neno "kufufua" ukisoma vizuri utagundua wanatengeneza kama alivosema mchangiaji juu a cyborg. Neno ufufuo limepanuliwa maana toka kwenye ule ufufuo wa kidini na kutumiwa kisayansi.
Hata hivyo ukisoma vizuri utagundua haya yote yanawezekana kisayansi ila watu wanayapinga kiimani zaidi.
 
Kisayansi inawezekana kabisa one day hata kama ni miaka 100 ijayo..

Kama wanasayansi wamefanikiwa kuamisha kichwa cha mtu mmoja kwenda kwa mwingine, mie nafikiri hakuna kinachoshindikana mbele ya sayansi it is just a matter of time tu..

Kuna movie moja kisa chake kinataka kufanana na ichi inaitwa Source Code ,ukiiyona hii muvi kuna concept utaipata
 
Si walisema mtumbua majibu ni mwanasayansi! Vp
 
Walisema wanahamia sayari ya Mars,
Mchakato wao haujakamilika tu??
 
Just do if you fail you will be a wise if you win you will be a winner.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…