Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa bahati nzuri wewe sio admnHuu ni Ujinga uliopitiliza. Ningekua Admin hapa ningefuta thread na ningewapa ban wote mliochangia huu ujinga.
Pesa yako tu,hicho kitu tayari kipoHuko wamekwenda mbali sana kwa nini wasizuie kuzeeka kwa binadamu kwanza.
HahahahahahaPesa yako tu,hicho kitu tayari kipo
Itupie kwa Tigo pesa,nikutumie sample mzee wangu.siunajua mkono mtupu haulambwi
50,000/= tu😀
Hawana haja ya kutafuta dawa ya VVU kwa sababu waathirika wakubwa sio wao, sisi ndo tunatakiwa kupambana kugundua hiyo dawa mkuu!!Hivi walishapata dawa ya VVU???
Tulia utumbuliwe uwe malaikaWenzetu wanaproject za maana, sisi tupo kwenye upuuzi wa kutumbua majipu
Eti viongozi wetu wanakazi ya kutembea na mikasi na pamba ya kutumbulia majipu...Wenzetu wanaproject za maana, sisi tupo kwenye upuuzi wa kutumbua majipu
Akili za hivi zinarudisha maendeleo nyuma,Unaweza kutuambia lini huyo mungu alifufua mtu?,ukimaliza kujibu thibitisha kwamba mungu yupo.Sasa hao wanafufua au wanatengeneza cyborg? Maana suala la kufufua ni la Mwenyezi Mungu pekee,hakuna kiumbe yeyote (si mwanadamu pekee) awezae hilo.
Dawa ipi?Hawana haja ya kutafuta dawa ya VVU kwa sababu waathirika wakubwa sio wao, sisi ndo tunatakiwa kupambana kugundua hiyo dawa mkuu!!
ThibitishaSasa hao wanafufua au wanatengeneza cyborg? Maana suala la kufufua ni la Mwenyezi Mungu pekee,hakuna kiumbe yeyote (si mwanadamu pekee) awezae hilo.
Ahhaahaa! Mtonyo mrefuhuku ni kutuletea mazombie sasa he!
.Inaaminika watu wa kale walikuwa ma-giants kweli kweli.Warefu na wenye miili.Waliweza kuishi hata miaka 800.Leo hii watu ni vipili vipili(wafupi kweli kweli) na wenye miili midogo.Je, nani sasa ni mazombi? Sisi wa kizazi hiki au wale wa kale?Jamani tutoke tutafute maarifa.Shuleni hawangeweza kukufundisha kila kitu kuhusu ulimwengu. Tufanye tafiti.Wengi wa waafrika baada ya kusoma na kuhitimu na kupata kazi tumebaki kuhesabu siku za kupata mishahara yao tu hakuna jambo la ziada tunaliacha kwa ajili ya vizazi vijavyo.Hahahahahaha
Kweli mkono mtupu haulambwi
Basi kama sasa hivi watu wamekuwa vifupi, mwishoe watabakia kama vinukta ikipita miaka kadhaa zaidi...In
.Inaaminika watu wa kale walikuwa ma-giants kweli kweli.Warefu na wenye miili.Waliweza kuishi hata miaka 800.Leo hii watu ni vipili vipili(wafupi kweli kweli) na wenye miili midogo.Je, nani sasa ni mazombi? Sisi wa kizazi hiki au wale wa kale?Jamani tutoke tutafute maarifa.Shuleni hawangeweza kukufundisha kila kitu kuhusu ulimwengu. Tufanye tafiti.Wengi wa waafrika baada ya kusoma na kuhitimu na kupata kazi tumebaki kuhesabu siku za kupata mishahara yao tu hakuna jambo la ziada tunaliacha kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Sikia wewe,Mimi siwezi kuwa Adui kwenye Nchi yangu
Huo ndiyo ukweli.tulitaka Rais mwenye vision siyo waluwalu.
Mbona nyumba za serikali alizouza Hajazirudisha?