Teknolojia ya kumfufua binadamu aliyekufa...

Ahahahaaaaaa....jamaa ni mweupe sana kichwani...sema anapenda ku_socialise kwenye mitandao ya kijamii...lakn hana upeo wa kuchangia hoja za hili jukwaa...namshauri aende mmu.


mkuu huyu jamaa mweupe kabisa anabishana tu pasipo na hoja aliponichekesha anakwambia sayansi ni ushirikina waafrika bana kazi ipo.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umenikumbusha series ya second chance
 


we jamaa umenivunja mbavu sijui upo sereous au unatania hahahahahaha.
 
mambo ya frankenstein ayo, wafute kauli yao waseme robot yenye umbo na mwili wa mwanadam
 
Huko ni kutaka kumsahihisha Mungu,, wanafkir kitu ambacho kiko beyond their ability and capability,,, ts totally kumfufua MTU kwa technology may utumie other powers
 
Kwa hyo mkuuu wewe umekuja baada ya wazazi kufanya majaribio,, stop kdn ur parents walikuwa na uhakika KBS kwamba utazaliwa
 
Na amini kwa 100% akuna atayeweza kumfufua binadamu aliye kufa kama kuna atayeweza mm nitamuabudi yeye
 
Hao wanafufua au wanaunda CYBORG? Maana suala la kufufua hata tukusanyike viumbe vyote mbinguni na ardhini HATULIWEZI.
 

Kwanza equation ya idadi yao imegoma, nimehesabu na kukuta ni wanne tu! Kwanza tuelewe maana ya kufa na features zake pamoja na zile za uhai ndipo tuelewe vizuri wanachotaka kufanya. Kwa haraka haraka mimi naona huko sio kurudisha uhai bali ni kutengeneza robot kutumia memory ya aliyekufa. Kwa mwili wa asili haupo huo ni uhai wa aina yake na wala sio huu wa asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…