Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Nilitaka kuuliza na Mimi watakuwa wanarusha baruti bila shakaMbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kuuliza na Mimi watakuwa wanarusha baruti bila shakaMbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Imekuaje tena !? Air defence mechanism hazifanyi Kazi !? Mbona wanapigwa ktk ardhi yao tena na Wana mgamboHii vita tangu mwanzo ilitoa uwelekeo kuwa Hezbullah walitakiwa mahesabu makali kama yale ya mwanzo Israel ilitakiwa kudili na viongozi tu wa Hezbullah sio raia sio majengo lkn Netanyahu anataka Beirut iwe Gaza apo ndio anaenda wapa Haki Hezbullah kuivuruga Telaviv na miji mingine na ilo ndio lisababisa Israel atoe mlio na kukimbilia UN
Hezbollah wanaomba ceazefireJamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya
Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
View attachment 3155752View attachment 3155753View attachment 3155767
View attachment 3155768
View attachment 3155769
Hapa utasikia mkuu mwingine kauwawa keep silence. Alie amuru ajipangeJamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya
Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
View attachment 3155752View attachment 3155753View attachment 3155767
View attachment 3155768
View attachment 3155769
Keep silence ndiyo nini!?..shule ndogo Sana,ndiyo maana mnabwekabweka bila hoja humu,Kama viongozi wote waliuawa na bado mapambano yanaendelea,Kuna maana gani kuuza viongozi!?..tel Aviv inaguswa kila siku, netanyahu analala shimoniHapa utasikia mkuu mwingine kauwawa keep silence. Alie amuru ajipange
Leo asubuhi nilikuwa naangalia al Jazeera,,wanaomba seize fire wenyewe,,acheni ujinga nyie wafuasi wa mudiKeep silence ndiyo nini!?..shule ndogo Sana,ndiyo maana mnabwekabweka bila hoja humu,Kama viongozi wote waliuawa na bado mapambano yanaendelea,Kuna maana gani kuuza viongozi!?..tel Aviv inaguswa kila siku, netanyahu analala shimoni
Leo asubuhi nilikuwa naangalia al Jazeera,,wanaomba seize fire wenyewe,,acheni ujinga nyie wafuasi wa mudiJamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya
Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
View attachment 3155752View attachment 3155753View attachment 3155767
View attachment 3155768
View attachment 3155769
Iranian from Igunga has been spotted celebrating the news of minor impact as a result of Hezbollah's strike in Tel aviv.A zionists from Nzega and Liwale has been spotted in the comment section.
Mkuuu mimi mjenzi amini nisemacho Jengo sio lamiza ulishushe lote kama anavyofanya Israel zile sifa na kutisha wengine lkn Jengo uliona linawaka moto apo akuna Jengo akuna mtu anakaa apo lishapigwa chini kwenye mshono akuna jengo apo watalishusha lote wenyewe.Kwa hivyo vibomu ambavyo haviwezi angusha hata Ghorofa la kko ?
Kiingereza hujui hiyo Al Jazeera umeangaliaje!?..Mimi naangalia Sasa hivi hapa,muwakilishi wa USA yupo na rais wa Lebanon wanajadili cease fire,proposal ya Israel na hizbullah wamesema Kuna vitu hawavitaki kwenye hiyo proposal,aliyetoa proposal ndiye atakaye cease fireLeo asubuhi nilikuwa naangalia al Jazeera,,wanaomba seize fire wenyewe,,acheni ujinga nyie wafuasi wa mudi
Kingereza nimesona kuanzia kindergarten pale ROCKEN HILL ACADEMY.je wewe mkuu?Kiingereza hujui hiyo Al Jazeera umeangaliaje!?..Mimi naangalia Sasa hivi hapa,muwakilishi wa USA yupo na rais wa Lebanon wanajadili cease fire,proposal ya Israel na hizbullah wamesema Kuna vitu hawavitaki kwenye hiyo proposal,aliyetoa proposal ndiye atakaye cease fire
Ungekijua ungejua nani kaomba cease fireKingereza nimesona kuanzia kindergarten pale ROCKEN HILL ACADEMY.je wewe mkuu?
Kill mashoga haoJamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya
Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
View attachment 3155752View attachment 3155753View attachment 3155767
View attachment 3155768
View attachment 3155769
Hilo kombora halikugusa hata jengo, lilidunguliwa angani. Mabaki yake yalipotua chini yalimjeruhi vibaya mama mmoja, na kuwapa majeraha ya wastani watu wengine watano. Mabaki hayo yalisababisha moto kwenye maeneo yalikoangua, mojawapo ni hilo jengo:Hii vita tangu mwanzo ilitoa uwelekeo kuwa Hezbullah walitakiwa mahesabu makali kama yale ya mwanzo Israel ilitakiwa kudili na viongozi tu wa Hezbullah sio raia sio majengo lkn Netanyahu anataka Beirut iwe Gaza apo ndio anaenda wapa Haki Hezbullah kuivuruga Telaviv na miji mingine na ilo ndio lisababisa Israel atoe mlio na kukimbilia UN
Msemaji wa IDF kutoka kateshiHilo kombora halikugusa hata jengo, lilidunguliwa angani. Mabaki yake yalipotua chini yalimjeruhi vibaya mama mmoja, na kuwapa majeraha ya wastani watu wengine watano. Mabaki hayo yalisababisha moto kwenye maeneo yalikoangua, mojawapo ni hilo jengo:
ALJAZEERA
Here’s what happened today
We will be closing this live page soon. Here is a recap of today’s developments:
- Rocket sirens sounded off across Tel Aviv and much of central Israel as falling shrapnel from an intercepted Hezbollah missile hit a main street – wounding six people including a woman in serious condition.
Huna akiliMbona hivi vimabomu haviangushi majengo ? Havina nguvu ?
Gaza umeiangalia vizuri?Tel Aviv imeanza kuwa Gaza taratibu