Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu

Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu

Sawa, hebu tuoneshe na hali ikoje huko Beirut...ukiachana na viongozi karibu wote wa Hezbulah kuwahishwa kuzimu!
 
A zionists from Nzega and Liwale has been spotted in the comment section.
A Palestinian from sinza palestina has been spotted in the comment section.
 

Attachments

  • 20241002_140513.jpg
    20241002_140513.jpg
    49 KB · Views: 1
Hii vita tangu mwanzo ilitoa uwelekeo kuwa Hezbullah walitakiwa mahesabu makali kama yale ya mwanzo Israel ilitakiwa kudili na viongozi tu wa Hezbullah sio raia sio majengo lkn Netanyahu anataka Beirut iwe Gaza apo ndio anaenda wapa Haki Hezbullah kuivuruga Telaviv na miji mingine na ilo ndio lisababisa Israel atoe mlio na kukimbilia UN
Wewe hujawahi kuandika point hata siku moja
 
Hilo kombora halikugusa hata jengo, lilidunguliwa angani. Mabaki yake yalipotua chini yalimjeruhi vibaya mama mmoja, na kuwapa majeraha ya wastani watu wengine watano. Mabaki hayo yalisababisha moto kwenye maeneo yalikoangua, mojawapo ni hilo jengo:

ALJAZEERA

Here’s what happened today​


We will be closing this live page soon. Here is a recap of today’s developments:
  • Rocket sirens sounded off across Tel Aviv and much of central Israel as falling shrapnel from an intercepted Hezbollah missile hit a main street – wounding six people including a woman in serious condition.
Wewe na idf Sawa ila polisi wa kizayuni wamesema direct attack mutajuana wenyewe muhimu wazayuni wawili wamefyekwa
 
Hezbollah wanaomba ceazefire
Hahaha US amefanya kila kitu ili ampe Israel point ashinde vita. Hezbullah kawambia bila Israel kufata resolution 1701 vita haisimami, we unajua hio 1701 mana yake nini? Israel asirushe hata drone Lebanon au kupiga risasi.

Vita hi Israel alienda kwa malengo matatu, kwanza awarudishe watu wake. Awarudishe Hezbullah nyuma ya Mto Letani na kuvunja silaha zao na yote hayo kashindwa. Afu Hezbullah ni serekali ya Lebanon ndio wabaya, Hezbullah alitaka vita vya Gaza mpaa visimame ndio na yeye asimamishe. Serekali ya Lebanon bada ya kuhongwa sijui na US na Saud Arabia wakawatia pressure Hezbullah wakubali. Swali je Hezbullah watakubali? Au hata huyo Israel atakubali sababu Israel yeye plan yake aitawale Lebanon katika ile map yao inasema Greater Israel 🤣
 
Ukweli ni hu Israel hataki kusimamisha vita vya Gaza, lakini anataka asimamishe vya Lebanon, je Israel anawapenda wa Lebanon au ni moto wa Hezbullah ndio unafanya aombe vita visimame.

Nilisha sema hapa Israel haheshimu UN resolution au nchi yeyote ile, anacho heshimu ni lugha ya silaha, ukimtandika vizuri ukampiga kwenye mshona anarudi kwenye lugha ya akili.

Hongera sana Hezbullah mpaa US anaenda wapigia magoti serekali ya Lebanon ili vita visimame.

Afu sio serekali ya Lebanon ndio US anaenda kuipigia magoti ni Hezbullah kwa njia ya serekali ya Lebanon.
 
Back
Top Bottom