Hana zuri lolote. Ana roho mbayaaaa tena ya uharibifu kila anachogusa KINAENDA KOMBO, Amebaki kupoteza tu roho zisizo na HATIAHapa tunazungumzia mazuri yake ,kuhusu hayo mabaya hatuyakatai ila anzisha uzi wako ili sisi tunaopenda mazuri yake yusije huko kwa mnaowazia mabaya yake
1. In my opinion I think he has brought back Rispect in our country because now money has value and only those who work hard can get it these days.
2. We don’t have traffic jam like before because a single family could drive 4 or 5 cars even if they workes on the same place.
3. Government offices are very much performing and they have shown us that they care.
4. Government Hospitals are better now and caring for the sick ones,
5. All government agencies are performing very well and ok for the civilians.
The list goes on and on if you have more share with us...
Ni janga kubwa la Taifa na ni mtu hatari sana kwa mustakabali na mshikamano wa Watanzania. Ameamua kudharau katiba, mahakama, Bunge na sheria za nchi mbali mbali ikiwemo sheria za manunuzi Serikalini. Ameshachota hazina zaidi ya trillion 2 bila idhini ya Bunge. Hafai huyu DU hafai hata chembe.
WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini[/URL
He gas done nothing mpuuzi huyu rather than killing us
1. Katununulia bombadia 3
2 .Katudaia mibilion kule acacia
Aise hio lugha tafadhali!!Wewe unafanya kazi na kujituma ??
- Hivi kuna mtu anaefanya kazi na kujituma anaupenda utawala huu ?
- Jitu limekaa sebuleni kwa shemeji limenyoosha miguu kwenye meza ya vioo linapiga porojo tu Kumsifia MAGU kwa ujinga mtupu
Mkuu niko upande wako naongea kinafikiBombadia zimekamatwa Canada, hayo sio mafanikio. Aliyetushtua kampiga risasi.
Kudai hela za acacia sio kupata. Kadanganya kwamba jamaa wamekubali kulipa. Kasema uongo pale ikulu na macho makavu bila aibu.
Hilo ni baya hapa ni mazuri ,hata ,mbowe ni malaya (wema) na anakwepa kodi lakini anamazuriHana zuri lolote. Ana roho mbayaaaa tena ya uharibifu kila anachogusa KINAENDA KOMBO, Amebaki kupoteza tu roho zisizo na HATIA
Kwani hapa ni Comparison kati ya Zee la Viwonder VS MBOWE ??Hilo ni baya hapa ni mazuri ,hata ,mbowe ni malaya (wema) na anakwepa kodi lakini anamazuri
basi niseme hata brother k ana sura mbaya lakini anachekesha ,maana kila kitu siasa kwako,narudia hapa mazuri tu ya zee la viwonderfulKwani hapa ni Comparison kati ya Zee la Viwonder VS MBOWE ??
Halina zuri lolote.basi niseme hata brother k ana sura mbaya lakini anachekesha ,maana kila kitu siasa kwako,narudia hapa mazuri tu ya zee la viwonderful
Mkuu baniani mbaya kiatu chake dawa.Halina zuri lolote.
- Hata kile lilichofanya tukadhani ni jambo jema, kumbe lilikuwa na nia mbaya
Hilo unawaambia kina nani ?Mkuu baniani mbaya kiatu chake dawa.
Nawaambia waleHilo unawaambia kina nani ?
- Walioko makaburini sasa kwa kupigwa na kuuawa bila hatia ?
- Wazazi waliopoteza ndugu, jamaa na watoto wao kwa kuuliwa bila hatia ?
- Watumishi wanaotishiwa amani na kufukuzwa kazi kama njugu huku wakinyimwa haki yao ?
- Vijana waliomaliza vyuo na ajira hakuna ?
- Watu wanaopigwa risasi mchana kweupe peee ?
- Wafanyabiashara wanaobanwa na kubambikwa kodi kubwa halafu ZEE LA VI-WONDER linagawa kama njugu kama PEDESHEE
- Au unamaanisha WALINZI/VIBARUA wa migodi walioumwa na MBU miaka 10 wakitegemea watapata MAFAO yao angalau WAFUNGUE Kimradi, pesa zao WAMEDHULUMIWA na ZEE LA VI- WONDER, halafu linatumia PESA Nyingi KUHONGA kina MTULIA Walisifu, Chaguzi za MARUDIO, Uwanja wa ndege CHATO, na waliokamata BOMBARDIER wakati WANAVYUO hata MIKOPO Wanakosa ????
Kwani rushwa imekwisha, au jamaa anao watu wake wa pekee tu anaopenda wachukue na kutoa rushwa ?Nawaambia wale
1.Waliokuwa wananyanyaswa kwa rushwa iliyokithili enzi za JK
Kweli hii nchi ya VI-WONDER, kwahiyo hakuna MTOTO anaekaa chini kwa sasa ?2.Watoto waliokuwa wanaa kaa chini kwa kukosa madawati
Hili nalo ni KIPAUMBELE cha nchi ??3.Wanawake ambao waume waliota mbawa kwa mapoato machafu enzi za JK.
Wagonjwa MUHIMBILI wanafanyaje, maana mimi nasoma hapa ?4.Wagonjwa Mhimbili
E.T.C
Nawaambia wale
1.Waliokuwa wananyanyaswa kwa rushwa iliyokithili enzi za JK
2.Watoto waliokuwa wanaa kaa chini kwa kukosa madawati
3.Wanawake ambao waume waliota mbawa kwa mapoato machafu enzi za JK.
4.Wagonjwa Mhimbili
E.T.C
...Bombardier yetu iliyoshikiliwa Canada...million 50 kijijini kwetu....vyerehani 4 kiwanda...Magufuli amefanya mengi tena kwa spidi kubwa ambayo haikutarajiwa.
Swali muhimu kwa sasa ni je Magufuli hajatekeleza kipi kinachohusiana na ahadi na ilani ya CCM?
Je ulimsikiliza msemaji wa Serikali jana?