Tell us what you think that President Magufuli has done for us so far??

Rushwa bado ipo, na sio Tz2 hata USA ipo, tuna Kazi kubwa sana lakujenga Taifa hili. Tujiulize sisi kama wananchi tunafanya kipi kupigana na rushwa?? Ukienda sehem ukakuta foleni hata kama ulikua wa mwisho utanza kuwaza kuchakachua na kushawishi watu ili uwe wa kwanza na usepe. Mimi namini Rushwa ni wananchi ndo wameleta na sisitu ndo tunaweza pambana nalo wala sio TaKukuru. Kua mzalendo na ukatae kutoa hela ya Maji ili upate huduma kwenye ofisi za serikali kwa sababu hio ni haki yako ya msingi.
 
Kweli watoto wanakaa chini, je zamani walikua wanakaa wapi?? Ndugu Magufuli sio malaika na hawezi leta mabadiliko kwa cku mja wala miaka 5. Hii Taifa ilkua imekua shamba la Bibi na kila mjinga alikua anafanya uwiZi waa hali ya juu. Magu kiboko kwa mwendo huu baada ya miaka 7 tutakua mbali sana.
 
Democracy is not for Africans, let’s live the way we are or else Men will marry fellow Men.
 
Wewe unafanya kazi na kujituma ??

- Hivi kuna mtu anaefanya kazi na kujituma anaupenda utawala huu ?

- Jitu limekaa sebuleni kwa shemeji limenyoosha miguu kwenye meza ya vioo linapiga porojo tu Kumsifia MAGU kwa ujinga mtupu
Acha habari za vijiweni, fanya Kazi utapata mafanikio. Usisubir Magufuli akupe mtaji
 
Sio kweli
 
Acha habari za vijiweni, fanya Kazi utapata mafanikio. Usisubir Magufuli akupe mtaji
Zee la Vi-Wonder Halina uwezo wa kunipa mtaji, linachoweza ni kunidhulumu hata changu kidogo nilichotafuta kwa jasho !
 


Sasa hivi hamna huo "wizi wa hali ya juu"?

Fuatilia ziara za Waziri Mkuu mikoani.

Au mpaka msikie ESCROW, EPA, RICHMOND ndio mjue kuna "wizi wa hali ya juu"?
 
Eti Magufuli sio malaika.

Mnapaisha halafu tukimu-expose mnasema sio malaika.

Basi acheni kumsifia sifia ovyo manake yeye sio malaika.

Eti sio malaika, kwa hiyo yeye anasifiwa tu, akikosolewa, sio malaika!
 
Eti Magufuli sio malaika.

Mnapaisha halafu tukimu-expose mnasema sio malaika.

Basi acheni kumsifia sifia ovyo manake yeye sio malaika.

Eti sio malaika, kwa hiyo yeye anasifiwa tu, akikosolewa, sio malaika!
Magufuli ametuokoa sote sematu wengine wasaliti
 
Inamana hajafanya lolote hata kuhusiana na wazir wetu wa zahabu? Chadema msibishe kila kitu!
 
Now money has value??? for your information the shilling you think have value in your pocket has been declining since 2015 when 5th regime came into power, and currently we have worst economy ever, so far nothing has been done for the country development and it's people, it's all about blah blah and crime that are taking over.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…