Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

CHADEMA na ndoto ya mwendawazimu
 
Jana wameaibishana sana CCM ina kila aina ya wahuni
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Milion 5 constable au unaongelea RPC?
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Ukifanya masihara hata SIRO hapokei hiyo hela
 
Endelea kuwafariji 5m wangekua wanakaa kwenye vile vijumba vyao vile
Hiyo ni life style tuliochagua mkuu,we are ccm police force kwa hiyo lazima tuwe unique kutoka kwenye nyumba tunazoishi,mavazi and everything,ndo maana hata watoto wetu wanasoma nje ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…