technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Halafu watu wameshangilia balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiwachukulie poa, hiyo ni style tu ya maisha walioyochagua Ila wanapiga mpunga mrefu,ndo maana wapo tayari kuua ili kuitetea ccm inayowapa mshaharaAcha kudanganya watu polisi tunaishi nao huku mtaani hawafanana na huo mshahara wa milion 5
Acha uongo ww OCD mwenyewe halipwi hiyo helaPolice wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Kumbe mnaangalia teh teh teh teh!😂😂😂😂😂😂😂😂
Wewe ni kilaz.a kweli hawa wanao kopakopa Laki moja moja kila katikati ya mwezi mtaani.Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Hakuna polisi anayelipwa milioni tanoMkuu usiwachukulie poa,hiyo ni style tu ya maisha walioyochagua Ila wanapiga mpunga mrefu,ndo maana wapo tayari kuua ili kuitetea ccm inayowapa mshahara
Mimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokeaAcha uongo ww OCD mwenyewe halipwi hiyo hela
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Daaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
[emoji1][emoji16]Mimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
Labda polisi wa uk ila sio tzMimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
Kwa minimum wage hiyo naona IGP Sirro atakuwa anakunja karibia 50 million kama CEO wa Bank.Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Ccm haipendwi inatumia nguvu na hela
Ndio hivyo naye kazimiwa mike mazima.Ndio hivo keshawachana
Hahahaaa we jamaa kilaza kweli yani. Hakuna kitu Kama hicho unachotaka kuaminisha watu.Mimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea