JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Bila shaka hiyo wage itakuwa inajumuisha na ile ya "ku_brush viatu" waliyoruhusiwa kunyan'ganya kwa Wadanganyika.Mkuu hiyo figure iko sawa? Ama umechanganya na za rushwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka hiyo wage itakuwa inajumuisha na ile ya "ku_brush viatu" waliyoruhusiwa kunyan'ganya kwa Wadanganyika.Mkuu hiyo figure iko sawa? Ama umechanganya na za rushwa?
Wapenda sana Bia za dezo hawa viumbe[emoji102] ƙama nawaona vile ssem ɓaaɗa ƴa ƙugunɗua miongini mwao wapo wapinzani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Vijana wa Ufipa wanafuatilia CCM huku wanajifanya kuiponda
Hiyo ndiyo dawa yao hao wahujumu wa rasilimaliMsanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Minimum?? Kwa nini wanaishi maisha ya kimaskini?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Imetoka hiyoNdio hivo keshawachana
Wewe mwenyewe "hujijui" kama unavyojiita, sasa hiyo wage unayolipwa "unaijua" vipi?Mimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
Watamuita mpinzaniHahah...kwa hali hiyo anaweza asilipwe
Temba kanifurahisha sanaa... Yani ujumbe umepenya mulemulee ...Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Temba kamaliza kazi iliyo kuwa inatusumbuaTemba kafanya vizuri sana, Polepole ameshapata ujumbe, japo wanawapata hao wasanii kwa njaa zao, lakini mioyo ya hao wasanii wote iko upinzani, CCM muache kujidanganya muda wenu wa kuendelea kuitawala nchi hii ulishapita.
Wote tumeona wahuni wakijificha nyuma ya polisi na kuurushia mawe msafara wa Chadema jana kule Hai, kama walikuwa wanajikausha hawajui kilichotokea, sasa Temba keshawachafua roho kwenye tamasha lao, hata wakimshusha jukwaani tayari ujumbe umeshafika.
Ni ukweli mchunguPolisi wa Tanzania katika awamu hii imekuwa organization ya ovyo kuliko hata south african police service ya wakati wa makaburu
Nimezima TV....Temba kamaliza kazi iliyo kuwa inatusumbua
Kweli?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Tunamshukuru sana Temba kwa ujasiliNimezima TV....
Nimetosheka.
Temba kamaliza kila kitu.
Unajua humu kuna bank officers, ambapo mishahara yenu inapitia huko pamoja na kupeleka salary slip zenu mkiwa mnataka mikopo, kuna mangi wenye maduka mtaani kwenu mnapoenda kukopa chakula na kuacha ATM card zenu kama dhamana ya mkopo, ivyo punguza uhongo broMimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
Huyo bosi wao mwenyewe hawezi fika hata 7Kwa minimum wage hiyo naona IGP Sirro atakuwa anakunja karibia 50 million kama CEO wa Bank.