Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa acha fiksi za kijinga kawandanganye polini hukoPolice wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Tena wanafatilia kupitia TBCKumbe mnaangalia teh teh teh teh!😂😂😂😂😂😂😂😂
Haha ha ha ha😂😂😂😂😂😂Makamanda wakati mwingine ni vivutio tukiwatumia vizuri tunaweza kuongeza GDPTena wanafatilia kupitia TBC
Baadae watakuambia nina miaka 60 sijawahi kuona TBCCM 😂😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂 Mtoto wa kamanda akijichanganya apite mbele ya TBC muda kama huu anaweza okotewa MOI. 🤣🤣🤣Haha ha ha ha😂😂😂😂😂😂Makamanda wakati mwingine ni vivutio tukiwatumia vizuri tunaweza kuongeza GDP
Kuna mwingine kapigwa mtama Karume(Dar) kaenda kutua Mandela(Swanga).Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Ni milioni 50 mshahara siku hizi.Mkuu hiyo figure iko sawa? Ama umechanganya na za rushwa?
Police tunapiga mpunga mrefu mnoWe jamaa acha fiksi za kijinga kawandanganye polini huko
Wewe ni polisi wa marekani haaha 5million mbna kesho nakuw polisi au million tano ni makalio yakoMimi pia ni police,hivyo nakuambia kile ninachokipokea
Hatutetei ccm kwa bahati mbaya,kazi wamefanyaWewe ni polisi wa marekani haaha 5million mbna kesho nakuw polisi au million tano ni makalio yako
Wakati mwingine Mwenyezi Mungu husimama na watu wake na kuamua kuwaondolea unafiki mioyoni mwao kwa kusema ukweli.big up temba achana na hao wachumia matumbo wanaojifanya wasanii kumbe njaa t zinawasumbua.Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Punguza uongo mkuu,polisi anae anza kazi leo achukue m5?????Aliye ajiriwa kuanza Leo anaanza na 5m take home
We sio police abadani labda kama umeandika kwa kejeliPolice tunapiga mpunga mrefu mno
Pumbavu kweli yaani vimishahara vyao vya 350 Hadi 400k ndio uje uwadanganye watu eti 5m? [emoji3]Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Wameongezewa sasa hivi ni milioni 20Pumbavu kweli yaani vimishahara vyao vya 350 Hadi 400k ndio uje uwadanganye watu eti 5m? [emoji3]
Mkuu wewe ni police? Acha story za vijiweniPumbavu kweli yaani vimishahara vyao vya 350 Hadi 400k ndio uje uwadanganye watu eti 5m? [emoji3]