Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

These cops crooked in Tanzania,in traffic, I don't panic when I see them police lights! I got them pigs in my pockets like simon sirro.
 
Ahakikishe tu bange si kilevi chake na hakutwi nayo.
 
Haisaidi kwani ujumbe umefika na kitendo hicho kitafanya habari hii iwafikie watu wengi zaidi.

Kwenye physics tunasema, work done=0
Ndio kama hivi,si unaona inavyosambaaa mkuu. Hii tu,na ktk hii tu inasambaa kutoka hapo uwanjani
 
Temba kafanya vizuri sana, Polepole ameshapata ujumbe, japo wanawapata hao wasanii kwa njaa zao, lakini mioyo ya hao wasanii wote iko upinzani, CCM muache kujidanganya muda wenu wa kuendelea kuitawala nchi hii ulishapita.

Wote tumeona wahuni wakijificha nyuma ya polisi na kuurushia mawe msafara wa Chadema jana kule Hai, kama walikuwa wanajikausha hawajui kilichotokea, sasa Temba keshawachafua roho kwenye tamasha lao, hata wakimshusha jukwaani tayari ujumbe umeshafika.
Kibaya zaidi ni baada ya Temba kutamka maneno hayo uwanja mzima ukaripuka kwa shangwe !
 
Mkuu hiyo figure iko sawa? Ama umechanganya na za rushwa?
Mkuu hiyo figure iko sawa,net take home 5m remember hiyo ni minimum wage,kwa hiyo mtu Kama siri yupo kwenye 20 to 25 m
 
Back
Top Bottom