Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

Ngogwe (African eggplant), bilinganya (eggplants), hoho(sweet pepper), kunde (cowpeas) na mchungwa (orange tree)
 
Huu sio uzi wangu lakini nimeona nichangie maana tunaelimishana.Mara nyingi kuna majina mengi ya vyakula au wanyama tunawajua lakini majina yake kwa kiingereza inakuwa ngumu kujua mchango wangu ni huu ongezeni tuelimishane.
tembele-sweet potato leaves
bamia---okra
mchicha---spinach
mchaichai----lemon grass
dagaa---sardine
ngongwe----facts
muarobaini-----neem
mbilimbi------tree cucumber fruit
kenge-------monitor lizard
mbaazi-----pigeon peas
dengu------cowpeas au lentils
njuga-------peanut
iliki--------cardamon
mdalasini------cinnamon
giligilani------coriander
tangawizi-----ginger
kanga(ndege)---guinea fowl
bata mzinga-----turkey
bata bukini-----turkey
mzaituni-----olive
fenesi--------jack fruit
chenza-----tangerine
matango-----cucumber
bilinganya------egg plant
pilipili hoho------sweet peper
pili pili manga----hot pepper
pilipili--------pepper
mtufaa-----apple
komamanga--- pomegranate
matipisi------peaches
Tujuzane zaidi
Asante mkuu mana nilikuaga natafuta maana ya nyama ya turkey kwa kiswahil [emoji2] nikawa sijui mpk nikawa nawadaganya wagen wangu ni nyama ya mbuni
 
Huu sio uzi wangu lakini nimeona nichangie maana tunaelimishana.Mara nyingi kuna majina mengi ya vyakula au wanyama tunawajua lakini majina yake kwa kiingereza inakuwa ngumu kujua mchango wangu ni huu ongezeni tuelimishane.
tembele-sweet potato leaves
bamia---okra
mchicha---spinach
mchaichai----lemon grass
dagaa---sardine
ngongwe----facts
muarobaini-----neem
mbilimbi------tree cucumber fruit
kenge-------monitor lizard
mbaazi-----pigeon peas
dengu------cowpeas au lentils
njuga-------peanut
iliki--------cardamon
mdalasini------cinnamon
giligilani------coriander
tangawizi-----ginger
kanga(ndege)---guinea fowl
bata mzinga-----turkey
bata bukini-----turkey
mzaituni-----olive
fenesi--------jack fruit
chenza-----tangerine
matango-----cucumber
bilinganya------egg plant
pilipili hoho------sweet peper
pili pili manga----hot pepper
pilipili--------pepper
mtufaa-----apple
komamanga--- pomegranate
matipisi------peaches
Tujuzane zaidi
Shukrani kaka, hivyo vitu nimegundua hata walimu hawavijui. Wakati nipo form 2 Mwalimu wa biology aliuliza mwarobaini tukakosa jibu. Wengine wakamwambia ni mwa40. Mwalimu akawa hajui, navyokwambia leo ndio nimefahamu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] hatar kwel nakumbuka form ll hyo tabia ya kuongezea hivyo maneno ilikuwepo hasa hasa kwenye malumbano ya kimadarasa
 
Huwezi amini na ukubwa wote huu nilishindwa kwa masaa kadhaa kujua kachumbari kwa kingereza nitumie neno gani. Hii lugha inatuaibisha sana Watanzania
 
Ngogwe - african egg plant
Biringanya - egg plant
Hoho - sweet pepper
Mchunga - wild lettuce
 
Back
Top Bottom