Tembelea moja ya barabara hatari zaidi duniani: Ajali nyingi za magari hutokea kwenye 'Death trampoline' nchini Colombia

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Mei 25, 2022, huko Putumayo, Colombia, trampoline ya kifo ni moja ya barabara hatari zaidi duniani, inaanzia kutoka Mocoa hadi San Francisco na ilijengwa mwaka 1930. Watu wengi walikufa wakiwa wanaendesha magari kwenye barabara hiyo.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…