Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
IMG-20190125-WA0033.jpg

Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe

Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday

Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa
 
Hawa wakurugenzi wangaliwe vizuri akili zao hivi kweli mmeshindwa kuwezesha watu wafanye kazi mkusanye kodi? Kipaimara kinachofanyika nyumbani kwangu mm nilipe kodi? Huko kwenye kumbi za maharusi sawa daini maana kumbi zinakodishwa.
 
Hawa wakurugenzi wangaliwe vizuri akili zao hivi kweli mmeshindwa kuwezesha watu wafanye kazi mkusanye kodi? Kipaimara kinachofanyika nyumbani kwangu mm nilipe kodi? Huko kwenye kumbi za maharusi sawa daini maana kumbi zinakodishwa.
Tatizo ndugu umeangalia ulipoangukia sio ulipojikwaa unadhani huyo anajiamulia tu? tatizo limeanzia mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa bahati nzuli nimeshwahi kuishi temeke kiukweli tangu niishi katika hiyo wilaya sijawahi kusikia mtu au watu wakifanya birthday,kipaimara, harusi kitu nilichowahi kukiona ni mdundikoooo.

haya mambo ya birthday, party, harusi, chereko, chereko tuacheniane watoto wa kinondoni na ilalaa na katika hili nadhani mkurugenzi hajafanya utafiti vizuliii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom