Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo taarifa inamapungufu
Kodi hiyo inatozwa kwa kufanya sherehe kwenye ukumbi tu
Au na majumbani?jibu tafadhali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi tunakoelekea sijui aiseeee mi birthday yangu nyumbani kodi ya nini kwani birthday ni biashara
Magufuli tunyoroshe baba...
Tulikupenda wenyewe,
Chaguo letu milele,
Wacha tuisome namba eeeeh,
CCM mbele kwa mbele!
Bahati nzuri sana hiyo namba tunaisoma nao. Japo wenzetu ni wanafiki mpaka basi, kwa hili wanaweza kumpongeza na akilikemea wakampongeza tena!ccm nambari one na MAZWAZWA yatakenua na kuimba kwa furaha. Chanzo cha haya yote ni huyo dikteta baada ya kuamua kupora vyanzo vyote vya mapato ya halmashauri za Wilaya nchini.
Mbna kipaimara makanisani mnalipa ,, lipeni na huku kwetu ..Pia lazima mumueleze mtu mnayechukua pesa yake kwanini mnachukua. Kipaimara nyumbani kwangu we manispaa unanisaidia nn kutokana na pesa unayotaka kuchukua kwenye kipaimara iko.
Mkuu hili tango pori, barua yenyewe inajieleza. Hakuna upuuzi kama huu hata kuandamana tutaandamana tu hamna namna. North Sudan na ubabe wote wa Bashir wanaandamana kwa sababu ya mkate kupanda bei. Too much drama done with this regime mkuu!Hii nchi tunakoelekea sijui aiseeee mi birthday yangu nyumbani kodi ya nini kwani birthday ni biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la serikali ya kimagumashi hilo mwendawazimuHawa wakurugenzi wangaliwe vizuri akili zao hivi kweli mmeshindwa kuwezesha watu wafanye kazi mkusanye kodi? Kipaimara kinachofanyika nyumbani kwangu mm nilipe kodi? Huko kwenye kumbi za maharusi sawa daini maana kumbi zinakodishwa.
lakini si mweye ukumbi si analipa kodiHawa wakurugenzi wangaliwe vizuri akili zao hivi kweli mmeshindwa kuwezesha watu wafanye kazi mkusanye kodi? Kipaimara kinachofanyika nyumbani kwangu mm nilipe kodi? Huko kwenye kumbi za maharusi sawa daini maana kumbi zinakodishwa.
Aibu ipi?Hii habari kama ni ya kweli itakuwa ni aibu kwa Taifa kama ulimwengu utazipata taarifa hizi za "Kibashite"
Aibu ipi?
Mbona ni Jambo la kawaida?
Baadae watatoza kodi kwa vibaka na wakabaji,watasema hizi nazo ni shughuli za kujipatia kipato walipePia lazima mumueleze mtu mnayechukua pesa yake kwanini mnachukua. Kipaimara nyumbani kwangu we manispaa unanisaidia nn kutokana na pesa unayotaka kuchukua kwenye kipaimara iko.
Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe
Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday
Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa