Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Hiyo ipo kwenye kipengele gani cha matakwa nchini?
Ilipitishwa na akina nani? Maana mwandikaji hajaandika hata kipengele cha kuonyesha ni sheria sijui nini.
Pesa hizo zinatozwa kufanyia nini?
Na kwanini wanatoza wananchi.. mtu akikaa kwake kutaka kufurahia na ndugu na jamaa kuondoa mastresi ndio aanze kupiga picha kuchajiwa na serikali kwanza?

Kuna mengi kwenye wilaya zz nchinu bado ni majanga.. uchafu, kuelimisha wananchi mengi n.k.

Hivi wale akina Mama wanaofagia barabara kila siku kweli hakuna kazi zingine za kuwapatia na kuachia vigari vya kusafisha nakuvuta michanga ikafanya hayo.. pesa za kununua hakuna kweli!! au ndio kulipa wamama pesa ndogo kuwatesa tu kwenye jua.
kawaulize lumumba wenzio shoga angu, nyinyi si kila kitu mnapongeza, kesho jiwe akijitokeza kupongeza ilo, utaikana hii kauli yako
 
Tobaaaa! watakamua mpaka damu hawa wa chama cha mafisadi.


Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe

Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday

Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa
 
Hiyo ipo kwenye kipengele gani cha matakwa nchini?
Ilipitishwa na akina nani? Maana mwandikaji hajaandika hata kipengele cha kuonyesha ni sheria sijui nini.
Pesa hizo zinatozwa kufanyia nini?
Na kwanini wanatoza wananchi.. mtu akikaa kwake kutaka kufurahia na ndugu na jamaa kuondoa mastresi ndio aanze kupiga picha kuchajiwa na serikali kwanza?

Kuna mengi kwenye wilaya zz nchinu bado ni majanga.. uchafu, kuelimisha wananchi mengi n.k.

Hivi wale akina Mama wanaofagia barabara kila siku kweli hakuna kazi zingine za kuwapatia na kuachia vigari vya kusafisha nakuvuta michanga ikafanya hayo.. pesa za kununua hakuna kweli!! au ndio kulipa wamama pesa ndogo kuwatesa tu kwenye jua.
Leo unatoa chozi ... wee kweli nyau .. mimi nilidhani utasema ccm oyeeee maana ndio imewafikisha hapo raia wa temeke" ajabu badala ya kuunga mkono juhudi za lumumba eti na wewe unakuja hapa kumwaga povu

Hold my beer please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tobaaaa! watakamua mpaka damu hawa wa chama cha mafisadi.
mkuu,nadhini hawata ishia kwenye damu hata inyaa wataka ilipiwe kodi.

tuendako hata dada powa nao watapewa vile vitambulisho vya machinga,cha msingi jiwe anataka heraa
 
Leo unatoa pozi ... wee kweli nyau .. mimi nilidhani utasema ccm oyeeee maana ndio imewafikisha hapo raia wa temeke" ajabu badala ya kuunga mkono juhudi za lumumba eti na wewe unakuja hapa kumwaga povu

Hold my beer please

Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha haaaaa nyau💀
Wewe ndio ulinipa kadi ya Chama hicho?
Magufuli oyeeeee
Lia basi..🤣🤣🤣
 
Aibu ipi?
Mbona ni Jambo la kawaida?
Jambo la kawaida? Kwamba huko uliko unalipa pia au? Acha kuchanganya madesa kijana Hiyo kodi yenu ni Sawa na "Primitive accumulation of capital" ya mzungu kwa Mwafrika miaka 600 iliyopita...amka acha kusinzia!!!
 
kwa bahati nzuli nimeshwahi kuishi temeke kiukweli tangu niishi katika hiyo wilaya sijawahi kusikia mtu au watu wakifanya birthday,kipaimara, harusi kitu nilichowahi kukiona ni mdundikoooo.

haya mambo ya birthday, party, harusi, chereko, chereko tuacheniane watoto wa kinondoni na ilalaa na katika hili nadhani mkurugenzi hajafanya utafiti vizuliii

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure tmk wamechemka
 
Watakuwa wanapita makanisani kuchukua ratiba za hizo events? Kama ni creativity hilo wamechemka
 
duh makubwa haya...mwe mnataka watanzania wenzetu wafe kwa msongo wa mawazo??kila mahali kodi,
 
Hii kodi sio kwamba haikuwepo ilikuwepo sema ilikuwa inatozwa kwa viwango vya chini nafkl ilikuwa 20,000/,= kwa elfu 30,000/= walichofanya wao ni ammendment ya sheria ndogo za manispaa na kuongeza tozo mpaka kufikia 50,000/=. Halmashauri kalibia zonte nchini zina hizi tozo ingawa pengine haziitwi tozo za burudani bali zitaitwa tozo ya matangazo.

Kwa mfano wale wanaouza vyombo kwa kuweka masipika barabarani na wengine kwenye minada wanaenda na masipika lazima walipie hicho kibali cha matangazo, wale wanaopiga promotion mitaani kutangaza bidhaa zao kama kampuni za simu na makampuni mengine nao lazma walipie hvyo vibari, harusi zote zinazofanyika ukumbini au majumbani ila zinalazimika kufunga barabara za serikali ili kujenga banda la sherehe hizo nazo lazima zilipie.
 
Anayesambaza ujumbe huu anadhani anamdhalilisha mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke kumbe anasaidia ujumbe ufike kwa wananchi bila gharama yoyote. Tangazo hilo ni halali kwa mujibu sheria ndogo za Manispaa ya Temeke za Mwaka 2018. Acheni kushabikia kitu msichokijua, fanya utafiti kabla ya kutoa lugha za kashfa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke. Ushauri wangu kwa wewe mtoa post ni kwamba acha kupotosha jamiii, nenda ofisi husika upate maelezo,upinzani kwenye maendeleo ni usaliti wa uzalendo wa nchi yako
 
Back
Top Bottom