Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Saatu kwaninpale si wametumia hela kufanikisha sherehe wacha tulioe ije na huku kwingine , unajua ukilioia hiyo 50 hata polisi wakija wanakuwa wapole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalianzisha halafu likiwashinda anakuja jiwe anarudisha kama ilivyokuwa mwanzo kisha anapigiwa makofi kwamba ndo bora hakuna kama yeye
aibu hawana ccm
Na hapo serikali kuu ikiona vinaingiza mapato kidogo navyo wanavipora
Tutalipishwa mpaka kodi ya kupumua
Mnapoteza mapato mengi kwa malaya wanaojiuza, huko nako ni chambo kikubwa cha mapato halali
Tuliposema kuwa vitu kama ndege hakuna serikali iliyo makini inatumia keshi kununua vitu hivyo tulionekana wapinga maendeleo
Nchi imekauka
Ha ha ha. Tatizo la kuteua teua tu. Mwisho wa siku anateua mataahiraKodi ya kugegeda haimo? Watanzania wataishi kama MASHETANI. Bado kauli ni wataisoma namba au TUTAISOMA NAMBA?
Wakikufuata nyumbani watakuwa wanajitafutia kupasuliwaHawa wakurugenzi wangaliwe vizuri akili zao hivi kweli mmeshindwa kuwezesha watu wafanye kazi mkusanye kodi? Kipaimara kinachofanyika nyumbani kwangu mm nilipe kodi? Huko kwenye kumbi za maharusi sawa daini maana kumbi zinakodishwa.
Hii habari kama ni ya kweli itakuwa ni aibu kwa Taifa kama ulimwengu utazipata taarifa hizi za "Kibashite"
Pia lazima mumueleze mtu mnayechukua pesa yake kwanini mnachukua. Kipaimara nyumbani kwangu we manispaa unanisaidia nn kutokana na pesa unayotaka kuchukua kwenye kipaimara iko.
Wanalianzisha halafu likiwashinda anakuja jiwe anarudisha kama ilivyokuwa mwanzo kisha anapigiwa makofi kwamba ndo bora hakuna kama yeye
aibu hawana ccm
Tatizo ndugu umeangalia ulipoangukia sio ulipojikwaa unadhani huyo anajiamulia tu? tatizo limeanzia mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna swali?hivi kipa imara au birthday ukifanyia nyumbani nayo utatozwa kodi?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha. Tatizo la kuteua teua tu. Mwisho wa siku anateua mataahira