Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Kimya kimya,unatakiwa ule pilau bila kelele,kuingia mmoja mmoja,kutoka mmoja mmoja,hapo hakuna kupendeza,unakuja ukiwa ovyo ovyo nguo unaweka kwenye begi ukiingia ndani ndio unavaa ili userebuke,kinyume cha hapo lipa kodi ili ujiachie...
Muziki vipi? Mnaingia kama wezi. Nimecheka sana.
 
Hii haiwezi kuwa kweli hata kidogo. Mimi nikifanyia birthday party hapa ghetto nikamuita Mariam awe MC na wapishi ni marafiki zangu nani aje kunikamata. Shughuli hii ni ya kiuchumi kwani?

Haiwezekani serikali iwe na watu mburula kiasi hiki. Labda kwa kumbi za kukodi nitaamini lakini nyumbani, sasa si kutaongezeka na kodi ya kupika chakula au kumiliki TV.
 
Hii haiwezi kuwa kweli hata kidogo. Mimi nikifanyia birthday party hapa ghetto nikamuita Mariam awe MC na wapishi ni marafiki zangu nani aje kunikamata. Shughuli hii ni ya kiuchumi kwani?

Haiwezekani serikali iwe na watu mburula kiasi hiki. Labda kwa kumbi za kukodi nitaamini lakini nyumbani, sasa si kutaongezeka na kodi ya kupika chakula au kumiliki TV.
hahah hakika hii ndiyo serikali katili ya CCM
 
This is hogwash to say the least......

Kwahio kama DJ/MC kapata shughuli ya kulipwa elfu 25 au 10 kwa siku, itabidi atoe kwenye mfuko wake kulipa hio difference..., Au wanataka kusema profit kwa kila kazi kwa hawa watu zinazidi hizo kodi, in short kwa shughuli yoyote mtu inabidi aweke kando 180,000/ kwa ajili ya kodi no matter kama ametumia cost ya laki mbili au bilioni mbili ?
Wanachomaanisha ni kuwa wamepandisha gharama za hizi shughuli.Yaani kama MC alikuwa analipwa TZS 25,000/= akienda kweye shughuli ya mnyonge kama vile kipaimara sasa itabidi alipwe TZS 75,000/= ili yeye aweke mfukoni 25,000/= na 50,000/= alipie kodi.Tafsiri yake ni kwamba wanyonge hawataweza kuwafanyia wapendwa wao sherehe tena!
 
Hii haiwezi kuwa kweli hata kidogo. Mimi nikifanyia birthday party hapa ghetto nikamuita Mariam awe MC na wapishi ni marafiki zangu nani aje kunikamata. Shughuli hii ni ya kiuchumi kwani?

Haiwezekani serikali iwe na watu mburula kiasi hiki. Labda kwa kumbi za kukodi nitaamini lakini nyumbani, sasa si kutaongezeka na kodi ya kupika chakula au kumiliki TV.
Wasi wasi wangu ni kwamba ukifanya sherehe hme kwako na hujalipa hiyo kodi ama kupata kibali watakuja migambo kukubeba kibindo/juu juu mbele ya mkeo mpaka kituoni kwa tuhuma za ukwepaji kodi.....!!??
walah tupo pabaya....
 
You knew Sengerema was going to be the precedent.

Sometimes wacha yawakute tu aiwezekani watu wajiamulie mambo na sheria ipo; halafu wahusika kwao iwe hewala tu.

Kesho watasema mechi za ndondo cup kuchezwa lazima walipie tozo ya laki moja ili kuwe na kiingilio.

Kikubwa kwao chochote kinachompa mtanzania starehe nchi ambayo wananchi wake wanatakiwa wawe na manung’uniko according global happiness index lazima kiangaliwe upya na kuitoa hiyo furaha maana ilo jambo ni anasa.

Haya ndio madhara ya kuwa na waziri wa fedha asie mwanasiasa na kura za ushindi aziitaji ushawishi; vinginevyo waziri mwingine yeyote asingekubali huu upuuzi.

Mwisho wa siku anaelipa ni wenye sherehe sio mpishi, MC, mwenye ukumbi wala photographer; just pathetic watu wakikubali huu upuuzi.

Mtu mwanawe kafaulu shule, mzazi amefurahj anataka kumfanyia ka part inabidi aache maana kuna tozo za halmashauri zinamsubiri; aisee na wananchi wanadhani this is OK ili swala likipita bila makash kash sasa ndio mtaamini watanzania kama kondoo.
Wewe ni kinara wakusifia ccm humu, leo unajifanya una uchungu, ndo madhara ya ccm kuongoza hili taifa miaka sitini with nothing new, sikuhizi Hali ya uchumi mbovu, sasa wanatesa wananchi
 
Back
Top Bottom