Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Imeripotiwa kuwa ngoma za vigodoro, jando na unyago sasa zitaanza kutozwa kodi ya shilingi 50,000. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Temeke Lusubilo Mwakabibi amesema tozo hiyo ni lazima na atakayekaidi kufanya shughuli bila kibali atalipa faini ya shilingi 200,000