Temeke: DC Jokate Mwegelo aagiza kuwekwa chini ya ulinzi, Viongozi wa Chuo cha Lubondo Training College

Temeke: DC Jokate Mwegelo aagiza kuwekwa chini ya ulinzi, Viongozi wa Chuo cha Lubondo Training College

Suala siyo kuruhusu ubunifu, wale wameendesha chuo bila kufuata sheria, hilo ndiyo kosa lao, ila pia mazingira yao hayaendani na viwango vya Serikali kama NECTA na NACTE.
Hivi hizi shule za serikali za miti/udongo tunazoziona humu mitandaoni unafikiri kama ndio zingekuwa za watu binafsi wangekuwa salama?
Busara hapa ni kuwapa vigezo na ikibidi wasaidiwe lakini hiki kinachofanyika ni ujinga.Serikali haiwezi kuajiri watu wote,hawa wanaojitahidi kuanzisha mambo yenye kupunguza tatizo la ajiri wasaidiwe na sio kuvunjwa moyo.
 
Watengeneza magobori wanakiona cha moto.
Ni ujinga uliopitiliza kutoka kwa viongozi wajinga... Watu wanabuni solutions badala ya kukaa nao bega kwa bega na kuwaongoza ipasavyo wanatishwa na kuwekwa ndani...

#Shame!
 
Suala siyo kuruhusu ubunifu, wale wameendesha chuo bila kufuata sheria, hilo ndiyo kosa lao, ila pia mazingira yao hayaendani na viwango vya Serikali kama NECTA na NACTE.
Mkuu unaongea kama vile upo chooni... #Shame
Huduma za serikali kwa wananchi wake ni duni zaidi ya huduma za watu/taasisi binafsi kwa wananchi. But system yenu inazikandamiza taasisi binafsi huku ovyo ovyo za serikali mnatuaminisha zitaboreshwa!
 
Acha bodi za kusajiri hivyo vyuo vitoe uamuzi kama chuo ni halali au sio, hawa wanasiasa njaa wanakuja kutuvuruga tuu kwa misifa au kutokuelewa
 
Acha bodi za kusajiri hivyo vyuo vitoe uamuzi kama chuo ni halali au sio, hawa wanasiasa njaa wanakuja kutuvuruga tuu kwa misifa au kutokuelewa
Na kwa nini wawekwe chini ya ulinzi??
 
Na kwa nini wawekwe chini ya ulinzi??
No idea, lakini inaonekana ni kutumia vibaya madaraka kwa hawa watu, nafikiri simu moja kwenye bodi ya usajiri wa hivyo vyuo ingeweza kuwa more effectively kutatua tatizo kuliko kuwaweka ndani
 
No idea, lakini inaonekana ni kutumia vibaya madaraka kwa hawa watu, nafikiri simu moja kwenye bodi ya usajiri wa hivyo vyuo ingeweza kuwa more effectively kutatua tatizo kuliko kuwaweka ndani
Na afisa mhusika alikuwepo Dr. Joefrey Oleke. Busara ingeelekeza wakakae wayaweke sawa. Ujue changamoto za wananchi principally zinatakiwa zimalizwe na serikali (wapokea kodi) na wananchi (walipa kodi)!
Sasa inapotokea mtu binafsi/taasisi akabuni mradi wa kuwasogezea huduma wananchi busara ya kawaida inaelekeza ni mtu wa kumkaribisha ofisini na kukaa naye kwa majadiliano...
#Shame on Jokate!
Labda ana bifu binafsi walizorithishwa kwenye awamu ya 5.
 
Kwaiyo unataka kusema hayo mapungufu aliyoyaelezea mkuu wa wilaya ni ya uongo?

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Wakipelekwa ndani ndo mapungufu watayamaliza?
Think big mkuu... Wabunifu - change makers ni watu wa kukaa nao chini, kuwasikiliza na kuwasaidia kutatua changamoto zao kama zipo!
Jaribu kuvaa viatu vyao... Think big!
 
Wakipelekwa ndani ndo mapungufu watayamaliza?
Think big mkuu... Wabunifu - change makers ni watu wa kukaa nao chini, kuwasikiliza na kuwasaidia kutatua changamoto zao kama zipo!
Jaribu kuvaa viatu vyao... Think big!
Hao sio change makers kama ulivyowabatiza wewe ila ni wahuni wanaojipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom