Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Hata Yesu walimkejeri hivyohivyo unavyomkejeri Prophet TB Joshua! Huna jipya! Pumzika kwa amani TB Joshua mtumishi wa Mungu Aliyehai!
Ndio binadamu hawa waliopo duniani
Huwa wanakejeli tu utadhani hata kuna jambo la msingi alilofanya kuzidi huyo anaemkejeli
 
Sasa waumini wake wataongozwa na nani,ama ndio waumini wake watahama kanisa..........

Hilo ni tatizo la taasisi nyingi za Afrika. Iwe kampuni au kitu kingine, mara nyingi akifa muanzilishi. Kinachofuata ni kifo cha vitu alivyovianzisha. Iwe biashara, au kitu kingine chochote.
 
Hilo ni tatizo la taasisi nyingi za Afrika. Iwe kampuni au kitu kingine, mara nyingi akifa muanzilishi. Kinachofuata ni kifo cha vitu alivyovianzisha. Iwe biashara, au kitu kingine chochote.
Usiongee kitu usichokijua wewe
Tb Joshua ana manabii na evangelists kibao aliowakuza na hata alipokua akisafiri anawaachia na kila kitu kinaenda sawa
Lile kanisa halitaanguka kabisa
Ni kama bakhressa alivyowashape wanae.usitarajie kamwe anguko
 
Sina hata cha kusema, i feel like the world is gone[emoji24][emoji24][emoji24] Mungu atuinulie TB Joshua mwingine wa kizazi hiki
The World is not gone, and will never....

Hata Yesu alipokuwa anapaa mbinguni aliwapa mamlaka mitume na ndio maana wengine wakawepo hata baada ya mitume 12....

Still tuna mitume wenye maono na wanaoliongoza kanisa vyema.

Note that:
 
The World is not gone, and will never....

Hata Yesu alipokuwa anapaa mbinguni aliwapa mamlaka mitume na ndio maana wengine wakawepo hata baada ya mitume 12....

Still tuna mitume wenye maono na wanaoliongoza kanisa vyema.

Note that:
Thank you[emoji120], upo sahihi kabisa
 
Usiongee kitu usichokijua wewe
Tb Joshua ana manabii na evangelists kibao aliowakuza na hata alipokua akisafiri anawaachia na kila kitu kinaenda sawa
Lile kanisa halitaanguka kabisa
Ni kama bakhressa alivyowashape wanae.usitarajie kamwe anguko

Kama ni hivyo sawa. Lkn acha tuupe muda nafasi.
 
aisee wanaleta furugu watu wa iPhone

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Halafu wameng'ang'ania remote za watoto wa shemeji haaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mpaka nabadilisha hii device ntakula sana madongo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] na sibadilishi ng'oo ( utasikia huna hela wewe)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Angalia kwanza BBC Africa na i24+ Israel chanel. mimi huko kote sijaona kitu, hii habari usikute ni vanity of vanity!!!!
 
Back
Top Bottom