Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Kwani huyu jamaa alikuwa anafufua wafu inakuwaje yeye kashindwa kujifufua au akaambiwa Gwaji boy akamfufua au waumini wake hawamtaki tena
Jifikirie wewe utakufaje...mwenzako amemaliza safari yako.
Jiulize wewe utafia wapi.
 
APUMZIKE KWA AMANI MTUMISHI WA MUNGU
 
Uyu mzee ndo ali mdanganya bwana lowasa 2015[emoji23][emoji23][emoji23]
 
alitoka kuhubiri neno la mungu baada ya hapo akafa....what wonderful death[emoji24][emoji24][emoji24]kifo kizuri sana hicho mwisho wake umekua nzuri sana.......wengine wanafia bar na guest lakini yeye amekufa katika njia ya kuhubiri neno la mungu[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
 
Sasa waumini wake wataongozwa na nani,ama ndio waumini wake watahama kanisa...
Mt 26:31

Ndipo Yesu akawaambia. Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa. Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.
 
Waweza nisaidia Andiko thibitishi?
Malaki 2: 3 Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya sadaka zenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo

4 Nanyi mtajua ya kuwa mimi nimewapelekeeni amri hii, ili agano langu liwe na Lawi, asema BWANA wa majeshi.
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu Mh Mbowe anakuwa Kiongozi wa kwanza wa ngazi ya juu wa kisiasa Nchini Tanzania kuguswa moja kwa moja na Msiba wa Nabii wa Kiafrica TB JOSHUA .

KWA FAIDA YA WANAJF NA WADAU WENGINE : Pamoja na yote yanayosemwa kuhusiana na unabii wa TB JOSHUA lakini huyu ni miongoni mwa watu mashuhuri waliosaidia kuirudisha amani ya Tanzania kwenye mstari wake kutokana na Ushawishi alionao kwa jamii BAADA YA CHADEMA KUIBIWA KURA wazi wazi kwenye uchaguzi Mkuu wa 2015 .

Hivi ndivyo alivyoandika .

 
hakuna aliye muabudu sema ile dini kubwa duniani inachukua sana haya makanisa ya kiroho ynayofuata bublia na kuomba kupitia Yesu na Roho mtakatifu badala ya Maria

Kama walewanaomuabudu Ellen na ukanjanja wake
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu Mh Mbowe anakuwa Kiongozi wa kwanza wa ngazi ya juu wa kisiasa Nchini Tanzania kuguswa moja kwa moja na Msiba wa Nabii wa Kiafrica TB JOSHUA...
Ujinga tu! Amechangia nini ktk kuiendeleza CHADEMA au Tanzania? Watu wanakubuhu kwa utapeli, wakifa wanasifiwa. Superstitious leaders!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…