Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Hapana yule Bushiri
Huyo tapeli mwingine,aliwalipisha watu dola 500 kila mmoja awaombee,nikawepo kwenye ukumbi nilikua nadeliver tu chakula.
Nikapita mbele niombewe hata yeye alistuka,
Mzee ngangari Kweli,
Sijui kaleta mafuta ya upako,nikanyanganya kibakuli kuyaonja ni oliver oil ya kawaida tu.
Hapo nakwambia kuna watu kama 10 wameanguka wakiombewa.
Nikacheka sana nikaondoka.
 
ALIWAFANYA WATU MISUKULE SANA. BADALA YA KUMUABUDU MUNGU WA KWELI NA YESU ALIYEMTUMA WAKAWA WANAMUABUDU YEYE (TB JOSHUA), MAFUTA, MAJI, TISHETI NA STIKA ZAKE.

Alazwe anapostahili.

HOSEA 4:6, "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA".
Tusome Neno la Mungu (Biblia) maarifa yote yapo humo.
 
View attachment 1809923

Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.

Pia soma;
1).Nabii TB Joshua awasili nchini, Afanya Mazungumzo na Kikwete, Lowassa na Magufuli
View attachment 1809833
=====

BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead​

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world.

TB-Joshua-1-e1622936784844.jpeg


Temitope Balogun Joshua, a frontline Nigerian preacher and televangelist, has died, family sources told Peoples Gazette.

Mr Joshua, the founder of The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), died in Lagos on Saturday evening shortly after concluding a programme at his church, The Gazette learnt from family sources who did not want to be quoted as an official statement was still being prepared. He was 57.

The cause of death was not immediately disclosed to The Gazette, but family sources said his remains had been deposited at the morgue and an autopsy would be performed forthwith.

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world. Emmanuel TV, run by Mr Joshua’s SCOAN, is one of Nigeria’s largest Christian broadcast stations, available worldwide via digital and terrestrial switches.

In 2014, his church was at the centre of a multi-national investigation following a section of his church headquarters in Lagos collapsed, leaving dozens killed and many more injured.

Mr Joshua denied allegations of negligence and a trial over the incident was still underway prior to his demise.

Source: BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead - Peoples Gazette
Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.
Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
 
ALIWAFANYA WATU MISUKULE SANA. BADALA YA KUMUABUDU MUNGU WA KWELI NA YESU ALIYEMTUMA WAKAWA WANAMUABUDU YEYE (TB JOSHUA), MAFUTA, MAJI, TISHETI NA STIKA ZAKE.

Alazwe anapostahili.

HOSEA 4:6, "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA".
Tusome Neno la Mungu (Biblia) maarifa yote yapo humo.
hakuna aliye muabudu sema ile dini kubwa duniani inachukua sana haya makanisa ya kiroho ynayofuata bublia na kuomba kupitia Yesu na Roho mtakatifu badala ya Maria
 
Kama hakuna sababu rasmi ya kifo chake basi ndo nitaamini kuwa ule msemo wa "wachungaji wengi wanajificha kwenye nguvu za giza kutuaminisha kuwa wana maono"
na mapadri na mashehe pia ama wachungaji peke yake?
 
Mhubiri wa Kimataifa kutoka Nchini #Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.
 
Back
Top Bottom