Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

ALIWAFANYA WATU MISUKULE SANA. BADALA YA KUMUABUDU MUNGU WA KWELI NA YESU ALIYEMTUMA WAKAWA WANAMUABUDU YEYE (TB JOSHUA), MAFUTA, MAJI, TISHETI NA STIKA ZAKE.

Alazwe anapostahili.

HOSEA 4:6, "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA".
Tusome Neno la Mungu (Biblia) maarifa yote yapo humo.
Amevipiga vita vilivyo vizuri , mwendo ameumaliza imani ameilinda.
 
View attachment 1809923

Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.

Pia soma;
1). Nabii TB Joshua awasili nchini, Afanya Mazungumzo na Kikwete, Lowassa na Magufuli

View attachment 1809833
=====

BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead​

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world.

TB-Joshua-1-e1622936784844.jpeg


Temitope Balogun Joshua, a frontline Nigerian preacher and televangelist, has died, family sources told Peoples Gazette.

Mr Joshua, the founder of The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), died in Lagos on Saturday evening shortly after concluding a programme at his church, The Gazette learnt from family sources who did not want to be quoted as an official statement was still being prepared. He was 57.

The cause of death was not immediately disclosed to The Gazette, but family sources said his remains had been deposited at the morgue and an autopsy would be performed forthwith.

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world. Emmanuel TV, run by Mr Joshua’s SCOAN, is one of Nigeria’s largest Christian broadcast stations, available worldwide via digital and terrestrial switches.

In 2014, his church was at the centre of a multi-national investigation following a section of his church headquarters in Lagos collapsed, leaving dozens killed and many more injured.

Mr Joshua denied allegations of negligence and a trial over the incident was still underway prior to his demise.

Source: BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead - Peoples Gazette

Pole kwa msiba.....

Baada ya kukuona hapa, nimekumbuka mbali sana. Enzi za Yahoo Messenger 😊.
 
Nilitegemea CCN/BBC watangaze habari za kifo cha TB Joshua (kama ni kweli). Wala sijaona matangazo kuhusu hilo, tangu saa 11 asubuhi naangalia CNN na BBC! Kweli wazungu wana dharau. Kifo cha TB Joshua is not news to them!
Kwa nini unataka Wamarekani na Waingereza watangaze kifo cha M Nigeria?

Kwani wa Nigeria hawana TV?

CNN na BBC equivalents za Nigeria ziko wapi?

Unataka kuwapangia watu cha kuonesha kwenye TV zao?

Tanzania habari za Jerry Falwell mnaonesha ITV na TBC?

Mnamjua hata Jerry Falwell ni nani?
 
Binfsi simhesabu Tb Joshua kama nabii wa KWELI wa MUNGU. Tb Joshua alikuwa nabii wa uongo, na kipimo cha kumpima Nabii yoyote yule ni NENO LA MUNGU.

Lakini vyovyote vile iwavyo, kama alihubiri Injili kwa husuda, kwa kujipatia faida au kwa kupotosha, hiyo ni juu yake yeye, muhimu ni kwamba jina la BWANA NA MWOKOZI WETU, YESU KRISTO, limetangazwa duniani.
Hukumu tunamwachia MUNGU.
 
"Kama ni kweli" kwahiyo bado unaamini hawezi kufa?
 
Mkuu mpaka Sasa hakuna officially statement from the family or the synagogue. Kwa hivi vyombo kutoa Habari lazima kuwe na official confirmation from reliable sources.

Watatangaza muda muafaka lakini pia waafrica tuache kuabudu miujiza
 
Binfsi simhesabu Tb Joshua kama nabii wa KWELI wa MUNGU. Tb Joshua alikuwa nabii wa uongo, na kipimo cha kumpima Nabii yoyote yule ni NENO LA MUNGU.

Lakini vyovyote vile iwavyo, kama alihubiri Injili kwa husuda, kwa kujipatia faida au kwa kupotosha, hiyo ni juu yake yeye, muhimu ni kwamba jina la BWANA NA MWOKOZI WETU, YESU KRISTO, limetangazwa duniani.
Hukumu tunamwachia MUNGU.
 
Binfsi simhesabu Tb Joshua kama nabii wa KWELI wa MUNGU. Tb Joshua alikuwa nabii wa uongo, na kipimo cha kumpima Nabii yoyote yule ni NENO LA MUNGU.

Lakini vyovyote vile iwavyo, kama alihubiri Injili kwa husuda, kwa kujipatia faida au kwa kupotosha, hiyo ni juu yake yeye, muhimu ni kwamba jina la BWANA NA MWOKOZI WETU, YESU KRISTO, limetangazwa duniani.
Hukumu tunamwachia MUNGU.
Usihukumu ili usije ukahukumiwa Mathayo1:7
 
View attachment 1809923

Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.

Pia soma;
1). Nabii TB Joshua awasili nchini, Afanya Mazungumzo na Kikwete, Lowassa na Magufuli

View attachment 1809833
=====

BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead​

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world.

TB-Joshua-1-e1622936784844.jpeg


Temitope Balogun Joshua, a frontline Nigerian preacher and televangelist, has died, family sources told Peoples Gazette.

Mr Joshua, the founder of The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), died in Lagos on Saturday evening shortly after concluding a programme at his church, The Gazette learnt from family sources who did not want to be quoted as an official statement was still being prepared. He was 57.

The cause of death was not immediately disclosed to The Gazette, but family sources said his remains had been deposited at the morgue and an autopsy would be performed forthwith.

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world. Emmanuel TV, run by Mr Joshua’s SCOAN, is one of Nigeria’s largest Christian broadcast stations, available worldwide via digital and terrestrial switches.

In 2014, his church was at the centre of a multi-national investigation following a section of his church headquarters in Lagos collapsed, leaving dozens killed and many more injured.

Mr Joshua denied allegations of negligence and a trial over the incident was still underway prior to his demise.

Source: BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead - Peoples Gazette
Kwani mwenyewe TB Joshua amesemaje kuhusu kifo ? Msikilize kwenye video hii !

 
Usihukumu ili usije ukahukumiwa Mathayo1:7
Unaelewa maana ya neno, "kuhukumu"?

Kuhukumu maana yake ni kutoa adhabu kwa mtu kwa tendo alilofanya.
Sasa mimi nimemuadhibu Tb Joshua???

Unapaswa kuelewa kwamba kuna tofauti kubwa sana kati ya kutoa maoni na kuhukumu.
By the way, ukiisoma comment yangu mpaka mwisho nimeandika wazi kabisa kuwa, "hukumu tunamwachia MUNGU".
 
Back
Top Bottom