Umeomba msaada public ila details unazikimbizia PM?Nakupa PM hapa public sio vizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu kwa visingizio daahNilitaka nikusaidie zaidi ya kiasi hicho,...tatizo Mimi niko upande wa Ufalme wa Mungu , wakati wewe uko upande wa Ufalme wa Baharini ( underWorld)
Kwani huwezi kuongea na chama lako wakakusaidia chap kwà haraka? Ma B na ma B yakatoka chini ya bahari wakakuletea hapo ulipo?
Au una lengo la kututega sisi Wana wa Mungu , tukuhurumie tukupe halafu utufilisi kabisa!! Aah sio kweli bhana!!
Hio Movie Bora ningengalia mwaka huu ndio maana nimeiweka Avatar nothing to do with meNilitaka nikusaidie zaidi ya kiasi hicho,...tatizo Mimi niko upande wa Ufalme wa Mungu , wakati wewe uko upande wa Ufalme wa Baharini ( underWorld)
Kwani huwezi kuongea na chama lako wakakusaidia chap kwà haraka? Ma B na ma B yakatoka chini ya bahari wakakuletea hapo ulipo?
Au una lengo la kututega sisi Wana wa Mungu , tukuhurumie tukupe halafu utufilisi kabisa!! Aah sio kweli bhana!!
Nikuoe pm, hii serious ungeona nilivyokaa hapa nikiwa na typeKwa mara ya kwanza nilivyosoma heading nimeguswa JF nikataka nikutumie.
Lakini nilivyofungua.....uandishi wako, na namba hujaweka vimeleta Mashaka.
Hata hivyo, pole mkuu, Mungu akafanikishe mioyo ya watu iguswe wakutumie.
Pole na kuumwa.
Upo initiated tayari just by watching that evil movie!Hio Movie Bora ningengalia mwaka huu ndio maana nimeiweka Avatar nothing to do with me
Vumilia
Duh pole aiseeHabari, wadau leo sipo sawa ninaumwa vibaya alafu Sina pesa kabisa nimejipoza na vipanado nk ila wapi ninahofia zaidi usiku
Naomba mtu anikope 10,000 tu niande pharmacy chap nitamrejeshea few days nikipokea vipesa kwenye mishe zangu uhakika, dharula sijajiandaa.
NB: Moderator uzi huu utatuta muda mchache nikifanikisha Moderator Wand
Vumilia