Temporary: ugonjwa umenikaba mtu anikope 10,000 ninunue dawa nitamrudishia

Temporary: ugonjwa umenikaba mtu anikope 10,000 ninunue dawa nitamrudishia

Nashukuru nimepata 5000 ila sio ya kusaidiwa sio kwa msaada ni Mungu Kama bahati nimepitia kwenye account ya FB nikaona inbox ya mteja wa bidhaa nilotangaza nika-close deal nimenunua dawa

Moderator Wand Mhariri Futa uzi seems munatengeneza LOOP ya kutaperi through ninauwezo wa kuweka namba watu wakanitumia pesa ila nimeandika for purpose munakera Mods
IMG_20230428_175232_5.jpg
 
Habari, wadau leo sipo sawa ninaumwa vibaya alafu Sina pesa kabisa nimejipoza na vipanado nk ila wapi ninahofia zaidi usiku

Naomba mtu anikope 10,000 tu niande pharmacy chap nitamrejeshea few days nikipokea vipesa kwenye mishe zangu uhakika, dharula sijajiandaa.

NB: Moderator uzi huu utatuta muda mchache nikifanikisha Moderator Wand

Kwenye mazingira yako, marafiki, Kanksan, jiran, Kaka, Dada, unaofanya nao mishe, yote inagoma?
 
Back
Top Bottom