Temporary: ugonjwa umenikaba mtu anikope 10,000 ninunue dawa nitamrudishia

Nashukuru nimepata 5000 ila sio ya kusaidiwa sio kwa msaada ni Mungu Kama bahati nimepitia kwenye account ya FB nikaona inbox ya mteja wa bidhaa nilotangaza nika-close deal nimenunua dawa

Moderator Wand Mhariri Futa uzi seems munatengeneza LOOP ya kutaperi through ninauwezo wa kuweka namba watu wakanitumia pesa ila nimeandika for purpose munakera Mods
 

Kwenye mazingira yako, marafiki, Kanksan, jiran, Kaka, Dada, unaofanya nao mishe, yote inagoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ