Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndio hiyoSi kweli
Baada ya muda, mkikutana anakukula.Mbona nimeachana na ex wangu..!![emoji848]
Ni suala la muda tu hata ukiwa na MTU mwingine tambua alama yake iko mwilini mwakoMbona nimeachana na ex wangu..!!🤔
Nakutana nae Mara kibao..na hanikuliBaada ya muda, mkikutana anakukula.
Sio kweliinawezekana ikawa ni kwel hii yan mkipotezana muda mref siku mkionana mkapeana nafas ya kusalimiana tu kiporo lazma kipashwe
Basi mwili utakuwa na alama nyingi za wapenziNi suala la muda tu hata ukiwa na MTU mwingine tambua alama yake iko mwilini mwako
Mazingira hajaruhusu. Au utakataa?Nakutana nae Mara kibao..na hanikuli
Yameshawahi kuruhusu na hakuna kilichofanyika..naona ni kujiendekeza na kutokujiheshimu tuMazingira hajaruhusu. Au utakataa?
Kabisa na hata unaweza kuwa umeshavuluga hata asili ya mwili wako kwa sababu ya alama nyingiBasi mwili utakuwa na alama nyingi za wapenzi
You have no power to resist that spiritual connectionNakutana nae Mara kibao..na hanikuli
Ooh sikujua hiliKabisa na hata unaweza kuwa umeshavuluga hata asili ya mwili wako kwa sababu ya alama nyingi
DADEKI..Basi mwili utakuwa na alama nyingi za wapenzi
Ninayo hiyo power na ndiyo maana hakuna kinachoendelea Kati yetuYou have no power to resist that spiritual connection