Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

Yameshawahi kuruhusu na hakuna kilichofanyika..naona ni kujiendekeza na kutokujiheshimu tu
Hakika, kukulana ni maamuzi ya mtu.

Pengine huo muunganiko, unaongelewa hapo juu ni wa kiroho zaidi na sio kimwili.
 
Kama ni alama basi wengine tuna makovu mwaka tangu nimebarehe wameshafika 80 mpaka wwngine cwakumbukj
 
😂😂
Kwa wote hiyo
Leo utausema ukweli tu..😅
Kwanini ishindikane kwanini..?

Sisi me huwa tunatekeleza kazi ya bwana maana aliteta nasi e nendeni mkaijaze dunia..😜
 
Hakika kama umeshiriki tendo la ngono na mwanamke au mwanaume tambua huyo hutaachana nae milele ilo ni agano la milele hadi kufa hivyo tunzeni viungo vyenu vya siri
Niliwahi kulala na madada poa back in the days. Hiyo kitaalamu imekaaje ?
 
Leo utausema ukweli tu..😅
Kwanini ishindikane kwanini..?

Sisi me huwa tunatekeleza kazi ya bwana maana aliteta nasi e nendeni mkaijaze dunia..😜
Mnavyojidanganya eeh
Hizo roho mnabaki nazo Kama ilivyo kwetu.
 
Mnavyojidanganya eeh
Hizo roho mnabaki nazo Kama ilivyo kwetu.
A we kuwa na adabu..😅
Mi siwezi kubaki na roho ya mtu labda mke wangu tu nitakae kuja kumuoa..usiniwangie tena nakemea toka pepo..😜😜
 
A we kuwa na adabu..😅
Mi siwezi kubaki na roho ya mtu labda mke wangu tu nitakae kuja kumuoa..usiniwangie tena nakemea toka pepo..😜😜
Kama wakulana roho haiwezi kukuacha salama according to mleta Uzi..😂😂 eti ya mkeo..Basi jitulize
 
Back
Top Bottom