Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Vere sahihišNaona kama uko sahihi lakini..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vere sahihišNaona kama uko sahihi lakini..
Tayari umekwisha bibieNdiyo
Hata Mimi naonaTayari umekwisha bibie
[emoji3]Kakojoe ukalale Bata wewe..
[emoji22]Ndiyo
Kudanganya dhambi[emoji22]
Wakati mwingine naona bora tungekuwa kama kuku tu mwenye mbio ndiyo mla nyama.. [emoji4]Vere sahihi[emoji4]
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu... [emoji4]Kudanganya dhambi
AmenNi kweli kabisa mtumishi wa Mungu... [emoji4]
Iwe na wewe pia [emoji120]Amen
Amani ya Bwana iwe nawe
Seee we mtu nimekumisimo balaaRafiki, nimekutafuta sana umeadimika hatari?
Alaf kaa utambue mwanamke unabeba DNA ya kila mwanaume unae sex nae kutoka kwenye sperm zake, ndio maana mkiishi mda mrefu ntajikuta mnaanza kufananainawezekana ikawa ni kwel hii yan mkipotezana muda mref siku mkionana mkapeana nafas ya kusalimiana tu kiporo lazma kipashwe
Mkuu hizi ni philosophical say tuu1 KOR. 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
Mbona baba yangu na mama hawajafananaAlaf kaa utambue mwanamke unabeba DNA ya kila mwanaume unae sex nae kutoka kwenye sperm zake, ndio maana mkiishi mda mrefu ntajikuta mnaanza kufanana
Kama alimwagia ndani huwezi kumwacha, kama alimwagia nje au alivaa kinga hapo sawaSi kweli
Ujawaangalia vizur tu, ila ukiwaangalia utagundua kuna kitu wanafanana kama sio physical bas ni katabiaMbona baba yangu na mama hawajafanana
Aliyesema haya maneno sio Mungu wala Yesu ni Paulo Mwanadamu tu Kama wewe na Mimi na huo ulikuwa ni mtazamo wake binafsi! Anaweza kuwa wrong pia1 KOR. 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.