Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

inawezekana ikawa ni kwel hii yan mkipotezana muda mref siku mkionana mkapeana nafas ya kusalimiana tu kiporo lazma kipashwe
Alaf kaa utambue mwanamke unabeba DNA ya kila mwanaume unae sex nae kutoka kwenye sperm zake, ndio maana mkiishi mda mrefu ntajikuta mnaanza kufanana
 
Kabisa mkuu hata mimi Ex wangu nikikutana nao Naona kuna force fulani wote inatuvuta tukanyanduane na kama mazingira yataruhusu basi Lazima Tutekeleze azma tena sometime unakuta sipo ata kwenye tamaa kiivo ila yeye tu anaweka mazingira poa mpaka mnakulana
Hio bond naona inakuwa strong zaidi kutegemea mtu uli last nae kwa muda gani kwenye mahusiano mfano mtu ukikaa nae hata mwaka tu ningumu kushindwa kukupa mzigo ata akiwa kaolewa ikiwa mazingira yanaruhusu, nimekula ex sana misibani na kwenye harusi mana ndio sehemu za makutano zaidi
 
Alaf kaa utambue mwanamke unabeba DNA ya kila mwanaume unae sex nae kutoka kwenye sperm zake, ndio maana mkiishi mda mrefu ntajikuta mnaanza kufanana
Mbona baba yangu na mama hawajafanana
 
1 KOR. 6:16
Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
Aliyesema haya maneno sio Mungu wala Yesu ni Paulo Mwanadamu tu Kama wewe na Mimi na huo ulikuwa ni mtazamo wake binafsi! Anaweza kuwa wrong pia
 
Back
Top Bottom