Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

Tendo la Ngono ni alama ya kudumu ya watu wawili walioshiriki

Wewe hizo roho za hao makaaba uko nazo na ndio maana ukiwa mbali na mkeo kma una mke lazima uwashwe kuwatafuta kataaaa
Unachokisema ni opinion zaidi kuliko fact.

Mara ya mwisho kumtia dada poa ilikuwa mwaka jana mwezi wa kwanza. Tangu hapo sijawahi kutaka kuwatia tena.
 
Kama wakulana roho haiwezi kukuacha salama according to mleta Uzi..😂😂 eti ya mkeo..Basi jitulize
Atulie nani wakati nina majini mahaba Saba..😂
Natania..

Thamani ya mke nitaiheshimu nae aniheshimu istahilivyo..

Vipi mama umeolewa..??😉
 
Ubavu ninao tayari
🙄🙄
Wacha kuitia doa ndoa toka kwake yeye!..
Nipatie nafasi uone niienzi enzi yako kiusalama!

Achana na mabandidu yatakuuwa kwa wivu!.. sema nami niseme nawe ili bwana wa majeshi atete nawe mrembo..😉
 
🙄🙄
Wacha kuitia doa ndoa toka kwake yeye!..
Nipatie nafasi uone niienzi enzi yako kiusalama!

Achana na mabandidu yatakuuwa kwa wivu!.. sema nami niseme nawe ili bwana wa majeshi atete nawe mrembo..😉
😂😂😂😂😂
Wanicha hoi kwa cheko..🤣🤣 jamani.
Ananitoshea Sina papara za kutia doa ndoa.
 
Acha kulalamika pambana unafikiri nani atakuonea huruma hapa..?
Huruma kaombe kwenye nyumba za ibada ila huku ni nyumba za ushubwada.
Mkuu kunywa maji umeongea risala ndefu
 
Back
Top Bottom