Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
ππππwe muite tu mrembo bt siku ukimuona live usijekutoka nduki(natania)
Kama sokwe(natania)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππwe muite tu mrembo bt siku ukimuona live usijekutoka nduki(natania)
Mi sina kitambi mama ukinipea nitawezana sana..πππππ
Wanicha hoi kwa cheko..π€£π€£ jamani.
Ananitoshea Sina papara za kutia doa ndoa.
ππMi sina kitambi mama ukinipea nitawezana sana..
wacha uchoyo wafadhira nataka niwe wako mume.. nipe Moyo mama maana mi sio mpiga mbira..π
Jembe unakwama wapi?Nikajua nimakala kumbe ni udaku tu..
Usilale bila kunikubalia alasivyo hutolala labda kama mi sio corona bawa a.k.a popo bawa...πππππ
Nalala
Hakika kama umeshiriki tendo la ngono na mwanamke au mwanaume tambua huyo hutaachana nae milele ilo ni agano la milele hadi kufa hivyo tunzeni viungo vyenu vya siri
Dah unacheza filamu za ngono?wewe utakua umekubuhu balaaKama ni alama basi wengine tuna makovu mwaka tangu nimebarehe wameshafika 80 mpaka wwngine cwakumbukj
Mbona hata 0.2 ya niliokutana nao siwakumbuki??? Sitaachana nao vipi sasa!Hakika kama umeshiriki tendo la ngono na mwanamke au mwanaume tambua huyo hutaachana nae milele ilo ni agano la milele hadi kufa hivyo tunzeni viungo vyenu vya siri
Mimi sikuwa bikra nlipoolewa, je nikitubu na kuachana na wa zamani hiyo alama inabaki?Hakika kama umeshiriki tendo la ngono na mwanamke au mwanaume tambua huyo hutaachana nae milele ilo ni agano la milele hadi kufa hivyo tunzeni viungo vyenu vya siri
Eeh kweli[emoji33]
We, kweli?
Rafiki, nimekutafuta sana umeadimika hatari?Sio kweli
Siyo rahisi!Nakutana nae Mara kibao..na hanikuli
Naona kama uko sahihi lakini..Yameshawahi kuruhusu na hakuna kilichofanyika..naona ni kujiendekeza na kutokujiheshimu tu
[emoji3]Basi mwili utakuwa na alama nyingi za wapenzi
Baki hapo hapoSiyo rahisi!
Ndiyo[emoji3]
Ushakuwa na zaidi ya mmoja!