Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abide haiendani na with ila by kwahiyo sema abide by na sio abide withAbide with me/ kaa nami 🔥
Usinipite…
Bwana u sehemu yangu..
Abide haiendani na with ila by kwahiyo sema abide by na sio abide with
Itakuwa wanyakyusa ndio wameprint huo utopoloEnglish ya biblia haitafasiriwi kama english ya darasani.
Huo wimbo ktk tenzi huko hivyo hivyo
Itakuwa wanyakyusa ndio wameprint huo utopolo
Mkuu, Mungu amrehemu huyo mama maana nyimbo zake zinatufariji sana sisi tulio baki bado hapa Duniani.Kaa Nami tena ni mwimba ninao upenda sna Tena ukikuta akiimba angela chibalonza kwakweli aliutendea haki wimbo huu
Huu wimbo mzuri sana kuuimbaTENZI NA. 24
1. Tangu siku hiyo aliponijia,
Akae moyoni mwangu,
Sina giza tena, ila mwanga pia
Kwa Yesu mwokozi wangu.
Amani moyoni mwangu,
kwa Yesu, Mwokozi wangu;
Sina shaka kamwe,
Kwa sababu yeye,
Yu nami moyoni mwangu.
2. Sina haja tena, ya kutanga-tanga,
Ndiye kiongozi wangu.
Dhambi zangu zote zimeondolewa,
Na Yesu, Mwanawe Mungu.
3. Matumaini yangu ni ya hakika,
Katika Mwokozi wangu.
Hofu zangu na hamu zimeondoka,
kwa kuwa ninaye Yesu.
Vv
Depo upo?Ujuaji sasa! Lol,,
Depo upo?
Umeadimika
HuonekaniNipo nimejaa tele 😂
Naupenda sana huu. "Tufani inapovuma Sana moyoni mwangu"Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.
Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi
3.Salama Rohoni
4.Yesu unipendaye
5.Mwamba wenye imara
6.Nataka nimjue Yesu
7.Bwana u sehemu yangu
8.Ni tabibu
9.Kumtegemea Mwokozi
10.Kaa nami
11.Bwana Mungu nashangaa kabisa.
Wakati mwingi unatembea au uko busy na shughuli zako unajikuta unaimba tu peke yako, unahisi amani ya ajabu ndani ya moyo wako.
Muwe na siku njema wana wa Mungu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏