CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
- Thread starter
- #21
hehehehehehehe kama bando la kuchovya usijaribuUnataka akatumalizie bando sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hehehehehehehe kama bando la kuchovya usijaribuUnataka akatumalizie bando sio
usiniambie unasemea mc pilipili?Kuna yule comedian mmoja kutoka TZ aliyekuwa anakuja Churchill show lakini nimesahau jina lake.
Omondi ana pesa nyingi sana kushinda huyu. So huyu pia atafika huko ni swala la muda tu.Yaani nimeangalia skits zake kama 10 so far , huyu anastahili kutulia na kutengeneza series kabisa ila abadilishe production team , editing yao siyo nzuri naona ile ya Omondi iko vizuri sana kwenye production
inawezekana mkuu hauna bandamaNimeiangalia hiyo video hata Sijacheka. Au sina Bandama??
Kale kajamaa kajanja kajanja halafu kako well informed kakija TZ kanongelea issues zako kana interact na audience kirahisi sanaOmondi ana pesa nyingi sana kushinda huyu. So huyu pia atafika huko ni swala la muda tu.
Naam, nadhani ni huyo. Ila hakuwa mcheshi sana ila alikuwa anajaribu.usiniambie unasemea mc pilipili?
Hamna kitu pale ndugu yangu kuna new generation inajaribu kuibuka trust me kwenye comedy bado sana, ndiyo maaana Omondi huwa anakuja huku kuchukua hela tu wa Uganda kama Salvador anashindwa kuingia huku kirahisi sababu ya lugha,labda ajifunze swahili maan ndugu yangu bado wa tz wengi English ni tatizoNaam, nadhani ni huyo. Ila hakuwa mcheshi sana ila alikuwa anajaribu.
Ila nyinyi pia mnajitahidi. Kuna hii comedy show iliyokuwa hosted hapo Tanzania last month. Mulimualika Mamito.Kale kajamaa kajanja kajanja halafu kako well informed kakija TZ kanongelea issues zako kana interact na audience kirahisi sana
Salvador ni mcheshi sana, huyo ndio my favourite comedian. Huwa ananichekesha sana. Yeye amefanya show hadi Nigeria.Hamna kitu pale ndugu yangu kuna new generation inajaribu kuibuka trust me kwenye comedy bado sana, ndiyo maaana Omondi huwa anakuja huku kuchukua hela tu wa Uganda kama Salvador anashindwa kuingia huku kirahisi sababu ya lugha,labda ajifunze swahili maan ndugu yangu bado wa tz wengi English ni tatizo
Ila nyinyi pia mnajitahidi. Kuna hii comedy show iliyokuwa hosted hapo Tanzania last month. Mulimualika Mamito.
Niliona show yake ya Nigeria kwenye zile movie awards? dah aisee heheheheheSalvador ni mcheshi sana, huyo ndio my favourite comedian. Huwa ananichekesha sana. Yeye amefanya show hadi Nigeria.
Nimemuangalia hapo anaforce kuongea kikongo nikaona ananiyeyusha tu.Kila mtu yuko huru kutoa maoni yake mimi mchaga na huyo mkenya ujomba unatoka wapi sasa
Ndio mamito ni Mkenya.Hivi mamito ni mkenya?wenye hiyo show nafikiri ni Coy mzungu hiyo aliiinunua Diamond inaitwa cheka tu atleast hao watu ndiyo wanajaribu kidogo
ingia kwenye skits zake nyingine anafanya kila accent , labda unge mjudge baada ya kuangalia clips kama tanoNimemuangalia hapo anaforce kuongea kikongo nikaona ananiyeyusha tu.
Usijali. Kucheka ni relative.
Si unaona sasa?eh ila kwangu vioja mahakamani inabaki kuwa classic the best of all time toka kenyaNdio mamito ni Mkenya.
Nilikuwa simjui hadi last week kanifanya nimemuona Omondi ni level ya chini kumbe"Ngapata wapi wewe right ya kuja huku ngatangaza Mambo yangu..au wewe umenufaika na kemikali ngapatia wewe 10 percent" yaani mzee wa ngakemikali anatingisha Kenya naona Facebook anacomments na like millions + ..kweli amekuwa creative na kuteka Kenya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vioja mahakamani ni level nyingine aiseeSi unaona sasa?eh ila kwangu vioja mahakamani inabaki kuwa classic the best of all time toka kenya
Haitafikiwa ile maana yule mmasai, dah 😂Vioja mahakamani ni level nyingine aisee
ingia kwenye skits zake nyingine anafanya kila accent , labda unge mjudge baada ya kuangalia clips kama tano