Terrence creative ananimalizia bando you tube, hatari sana

Terrence creative ananimalizia bando you tube, hatari sana

Si unaona sasa?eh ila kwangu vioja mahakamani inabaki kuwa classic the best of all time toka kenya
Kenya tuna comedians zaidi ya 30. Ni wengi sana ila redykyulass ndio ilianza stand up comedy. Unawajua hao redykyulass? Nyambane, Tony na KJ? Miaka ya 1998 kuelekea early 2000s. Tazama hapa. Hawa ndio walioanzisha stand up comedy Kenya. Nenda katazame video zao za zamani youtube.




Huyo Tony saa hii ni MP wa Dagoretti.
 
Kenya tuna comedians zaidi ya 30. Ni wengi sana ila redykyulass ndio ilianza stand up comedy. Unawajua hao redykyulass? Nyambane, Tony na KJ? Miaka ya 1998 kuelekea early 2000s. Tazama hapa. Hawa ndio walioanzisha stand up comedy Kenya. Nenda katazame video zao za zamani youtube.




Huyo Tony saa hii ni MP wa Dagoretti.

hahahaha nimewakumbuka hao jamaa bana walikuwa wanaimba hadi nyimbo za bongo fleva kwa funny lyrics

Bongo wengi wanaoonekana comedians ni impersonators kuiga sauti za viongozi haswa Nyerere basi wamemaliza bado kwenye hiyo sekta tuko nyuma
 
hahahaha nimewakumbuka hao jamaa bana walikuwa wanaimba hadi nyimbo za bongo fleva kwa funny lyrics

Bongo wengi wanaoonekana comedians ni impersonators kuiga sauti za viongozi haswa Nyerere basi wamemaliza bado kwenye hiyo sekta tuko nyuma
Hao redykyulass ndio walioanza mambo ya kuiga sauti za wanasiasa na stand up comedy. Kisha baadaye wakamualika Churchill kujiunga nao. Churchill huwa anakubali kuwa hawa wazee ndio waliomfundisha mchezo huu.
 
Comedy is a big industry in Kenya, especially online. Mimi nimetambua
Njugush, Flaqo, Crazy Kennar, Wololo TV, Abel Mutua, Cartoon Comedian na Sammy Kioko & Tom Daktari.
 
 
Tangu nikiwa mdogo napenda sana comedy za Kenya nakumbuka nilikuwa naenda library huko Arusha kukodisha tape za Vitimbi kina masakuu wali zo dub KBC

Hapa katikati nikawa mshabiki mkubwa wa churchil show na Eric Omondi ila last week nimekuja kumjua jamaa anaitwa Terrence creative aisee hands up to that dude, he is extra ordinary, hongera kwake.

Niko hooked up kwenye you tube channel yake all this wekk
Umesifia sanaa...ila iyo video akuna kitu ni bora uyo omondi
 
Kwa ujumla wao wako vizuri sana.

Kazi inapigwa siyo kidogo.

Kundi lao halifanyi kazi ya kubahatisha.

Kazi yao wanaijua sawia, Kazi yao inaonekana haina ngojera wala mboyoyo.
 
Back
Top Bottom