Kenya tuna comedians zaidi ya 30. Ni wengi sana ila redykyulass ndio ilianza stand up comedy. Unawajua hao redykyulass? Nyambane, Tony na KJ? Miaka ya 1998 kuelekea early 2000s. Tazama hapa. Hawa ndio walioanzisha stand up comedy Kenya. Nenda katazame video zao za zamani youtube.Si unaona sasa?eh ila kwangu vioja mahakamani inabaki kuwa classic the best of all time toka kenya
hahahaha nimewakumbuka hao jamaa bana walikuwa wanaimba hadi nyimbo za bongo fleva kwa funny lyricsKenya tuna comedians zaidi ya 30. Ni wengi sana ila redykyulass ndio ilianza stand up comedy. Unawajua hao redykyulass? Nyambane, Tony na KJ? Miaka ya 1998 kuelekea early 2000s. Tazama hapa. Hawa ndio walioanzisha stand up comedy Kenya. Nenda katazame video zao za zamani youtube.
Huyo Tony saa hii ni MP wa Dagoretti.
Hao redykyulass ndio walioanza mambo ya kuiga sauti za wanasiasa na stand up comedy. Kisha baadaye wakamualika Churchill kujiunga nao. Churchill huwa anakubali kuwa hawa wazee ndio waliomfundisha mchezo huu.hahahaha nimewakumbuka hao jamaa bana walikuwa wanaimba hadi nyimbo za bongo fleva kwa funny lyrics
Bongo wengi wanaoonekana comedians ni impersonators kuiga sauti za viongozi haswa Nyerere basi wamemaliza bado kwenye hiyo sekta tuko nyuma
Ungekua unajua maana ya "wash wash" business ungeelewa hii skit., so uko kwa giza.,jamaa mbona hachekeshi, au ni mjomba wako unampromote
Ndio nini iyo sasa[emoji36]Ni kweli jamaa yupo very creative.
Umesifia sanaa...ila iyo video akuna kitu ni bora uyo omondiTangu nikiwa mdogo napenda sana comedy za Kenya nakumbuka nilikuwa naenda library huko Arusha kukodisha tape za Vitimbi kina masakuu wali zo dub KBC
Hapa katikati nikawa mshabiki mkubwa wa churchil show na Eric Omondi ila last week nimekuja kumjua jamaa anaitwa Terrence creative aisee hands up to that dude, he is extra ordinary, hongera kwake.
Niko hooked up kwenye you tube channel yake all this wekk