Du ulikuwa umelala ?? Habari ni kwamba magaidi wamewavamia wenye kenya yao wewe mkaazi wa kibera awanashida na wewe wala slum yenu endelea kuvuta hewa chafu ya kiberaNaona habari sasa hivi. Ni nini kinaendelea?
January 15, 2019
Johannesburg South Africa
Reaction from Tanzania following Kenya attack:
South African Broadcasting Corporation SABC cross the border now and go to Tanzania where according to this media giant, Al Shabab is enjoying some support in Tanzania
Source : SABC Digital News
Naona habari sasa hivi. Ni nini kinaendelea?
Nikweli umemjibu jibu safi habari inawahusu wenye Kenya yao siyo wakaazi wa slum kina janeroseHakuna lolote.
Hata wakati wa sodoma na gomora watu walijikinai kwa kula na kunywa, kuoa na kuolewa!hivi kwani wewe umeshaolewa? au bado unachumbiwa?
Tulifundishwa na Mwalimu JKN...Siri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.
Hii sentensi 'Al shabab is enjoying some support in Tanzania' Si Kweli! NonsenseJanuary 15, 2019
Johannesburg South Africa
Reaction from Tanzania following Kenya attack:
South African Broadcasting Corporation SABC cross the border now and go to Tanzania where according to this media giant, Al Shabab is enjoying some support in Tanzania
Source : SABC Digital News
Ndio akili zetu zilipo ishia
Kama hakuna mzungu aliyejeruhiwa au kufariki au hakuwepo muda wa shambulio, jiongezeni. Nachokiona hapo USA na NATO wanataka Kenyatta asiondoe Majeshi Somalia, hao Alshababu wametumiwa na mabeberu kufanikisha wanachokitaka.
Teeeh[emoji3]basi sawa tutazidi kua wambeyaaaSiri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.
Kwani bro nimetaja imani ya mtu mimi?au wewe unaamin hiyo imani ina-exist?Kuwa na ADAMU NA IMANI ZA WATU WENGINE...nani nakwambiya yeyote anayeuwa wengine,,tena kwa MASLAHI YAKE BINAFSI. ,, ANAKWENDA PEPONI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jamaa lijinga sana.Utakufa na usicho kijua.
Acha kuleta mihemko ya chama ktk suala la nchi. Wewe ukiona nchi inakushinda hama,
Mtuachie nchi yetu cz bado tupo tunao ipenda na kuiwazia mema.
Mm sijawahi ona watu wasio kuwa na akili kama hivi kutukana mahali ambapo ndipo ulipo zaliwa na kizaz chako kinaishi hapa.
Kama unaona mengine magumu rudi kwa Mungu omba kwa hekima na ufahamu, ukienda kwa mihemko hata zuri la nchi yako huto liona utabaki kunyooshea viongozi vidole tu, mwisho upate magonjwa ya moyo.
Mungu akusaidie, uipende nchi yako na kinywa chako kijifunze kubarik na sio kulaani sababu laana inaweza kukurudia pasipo kuelewa.
Kuna watu wanakesha kuombea nchi ww unaleta mihemko. Unafikiri kuna nchi perfect na viongoz perfect
Rudi nyuma kwa wazazi, au ktk ndoa wapo perfect?
Tulia tu usije kufa kwa magonjwa ukawa sadaka.
Siasa ni mchezo mchafu
[emoji23][emoji23][emoji23],N kweli mkuu wabongo kwa umbeya we are better than,Siri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.
Hayo makundi hatuna ila mchina naona atajiungaSisi hatuna?
Afadhali Watanzania tuwe wambeya kutoa taarifa kwenye vyombo vya Usalama ili nchi yetu na RAIA wake wawe salama zaidi,badala ya kutunza siri za uhalifu wakati zina madhara makubwa sana kama haya yaliyotokea Kenya jana.[emoji23][emoji23][emoji23],N kweli mkuu wabongo kwa umbeya we are better than,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo hapa ninapopenda askari wa hii nchi wanaonekana makamanda kwelikweli kwa mapichapicha field sasa wanarundikana sehemu moja kama kumbikumbi wametoka mabawa,huwa najiuliza hivi yangewakuta kama hapa bongo kule kibiti nadhani nchi nzima ingejaa makaburi,kwetu askari wanajisucrifice ili wengine wengi waishi Ila ndo hivyo kila ubaya wao mpaka njaa yao.