Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Their guns are here
IMG_20190116_104407.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wazungu ndo wana wafadhili hao magaidi.
al Shabab wana pata wapi Silaha,vifaru na magari?
VITA NI BIASHARA NZURI SANAA.
na ndo maana hao wazungu Hawaachi kutengeneza
SILAHAA
NI PIGO KWA SEKTA YA UTALII KENYA. Wanachokifanya ni kuchafua sifa ya Kenya kimataifa kwani uchumi wa Kenya unategemea sana utalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bablai unajishtukia mzee!!!

Ukiwa hivi kila mtu utagombana naye maana kama unachoamini wewe unaamini kabisa hakina mambo hayo then kwanini uanze kusema wenye akili za ndani wanajua nalenga dini,basi unanilazimisha niamini kwamba wewe ni mmoja ktk dini ninayoijua inafanya mambo hayo.

Nikuulize wewe dini yako inaruhusu kumuuwa mtu ili uende peponi?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Haihitaji ELIMU YA PHD kujuwa ULICHOKUSUDIA,,,sasa unaweza ukasema kwa uwazi ulikusudia DINI GN?au alshababi ni dini?au KUNDI LA WAHUNI? usifananishe maslahi ya WAHUNI FULANI na dini ya MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa si vijana wadogo age ya 20s! Nawapongeza wanajeshi kwa kuwaua hawa watoto wa mashetani na kuwawahisha jehanamu tena wakawe kuni kabisaa! Duu!
hawa vijana hata huko somalia wanawaua hata wasomalia wenzao...pure anarchists
 
wewe ni mtu mzima.ongea kiutu uzima.
unamficha nani au unamdanganya nani?
kwani ukisema unamlenga m uislam na uislam kwani utapigwa?


Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniwekee maneno mdomoni chief mimi kuwa mtu mzima siyo ndiyo niandike tu vitu bila kuzingatia mazingira halisi,waislam wenzako wanakataa wao hawauwi wewe unanilazimisha hapa niseme waislam wanauwa unataka wanitafute waniuwe na mimi?

Wewe ulifundishwa kuuwa?unaweza kuthibitisha hapa kwamba waislam ni wauwaji?shida yenu ni kujishtukia hamjiamini.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ni rasmi magaidi wote waliokuja kujitoa mhanga wameuawa na kuwahishwa mbele ya haki, idadi ya watu wote waliofariki imefikia 14

Police Kill All Terrorists in Riverside Attack - Uhuru Confirms
Nadhani ingefaa kusema wamewahishwa wanakostahili na si mbele ya haki. Hata hivyo, natoa pole kwa familia za wote waliopatwa na maafa na Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu, maana mambo haya bora uyasikie kwa wenzio tu yasikukumbe...
 
Just on my way from donating blood at Agha Khan Hospital. Wakenya na wale wote wenye nia ya kusaidia fikeni pale MP Shah, Parklands au KNH damu inahitajika, wenye damu aina ya blood group O mnaelewa, ni wakati wetu wa kuwasaidia wenzetu.
 
Back
Top Bottom