Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Wanaweza sana. Tofauti na jeshi lakawaida ...speciak forces hawako static.. always wanabadilika na matukio yanayokutana nayo. Always trained..
Alshabab hawawez kula kichwa. Waache kuua raia wasio na silaha.. wakatafute size yao
Hawawezi kamwe. Lazima Al shabaab wale vichwa mpaka wachoke wenyewe.
Nawapenda sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni rasmi magaidi wote waliokuja kujitoa mhanga wameuawa na kuwahishwa mbele ya haki, idadi ya watu wote waliofariki imefikia 14

--------------------------------------------
In a televised address, President Uhuru Kenyatta has confirmed that all terrorists in 14 Riverside and Dusit D2 Hotel attack had been neutralized.

He added that 14 people had been killed in the terror attack.

Specialized Security Forces leading the operation at Dusit D2 Hotel, at 14 Riverside, Nairobi managed to gun down the attackers.

Gory photos shared on social media showed at least two of the attackers captured on CCTV camera dead.

Their lifeless, bullet-riddled bodies were seen lying next to several spent cartridges.

There were also bullet holes on the walls of the room where the terrorists were gunned down.

  • The graphic photos seen by Kenyans.co.ke show the gunned persons wearing clothes and bullet jackets resembling those captured on the CCTV footage.He also indicated that the operation was over and that all the terrorists had been killed.
Police Kill All Terrorists in Riverside Attack - Uhuru Confirms
Hudhuria msiba - JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Poleni sana ndugu zetu wakenya na Hingera sana jeshi la Kenya kwa kazi nzuri ya kurudisha usalama wa Kenya.

Hata hivyo nchi za Afrika mashariki zifanye jitihada zaidi kuzuia uhalifu kutokea badala ya kupambana na wahalifu wakiwa tayari wameshafanya uharibifu.

pili kuna wanafanya propaganda "ukifa vitani Mungu atakupa bikira saba" nadhani wengi wa wanaojitoa mhanga ili wakutane na hao mabikira kitu ambacho ni upotshoji wa hali ya juu. Tuanze kufuatilia kwa karibu wote wanaoeneza propaganda za kidini zisizokuwa na ukweli bila kuangalia dhehebu atokalo.
 
Hakuna aya yoyote ktk Quran inayothibitisha hilo Mkuu. Hizo ni propaganda zinazotumiwa na watu fulani kwa maslahi yao binafsi kwa kuwatumia hawa vijana wajinga.

Kwani hao wakubwa wao hawataki hizo ‘thawabu’? Kwanini wao huwa hawaendi badala yake wanawatumia vijana?
Tena wanalindwa kwa ulinzi mkali kwelikweli, na wakivamiwa wanapigania maisha yao.

Magaidi sio wenzetu ktk Uislam, hatuwatambui na wala hatuna ushirika nao. Ni vikundi vya kishetani vinavyotumia Dini yetu kama kichaka.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Narudia tena dini ni upuuzi. Hayo usemayo ni propaganda pia. Hivi unakumbuka mauaji ya dini yaliyowahi kutokea ulaya miaka ya nyuma ???... Si ukristo ,si uislam dini zote ni ushezi. Dini zote zimejaa unafiki ndio maana huwezi sikia viongozi na vyombo vya kiislam zikitolea ufafanuzi kilichofanyika Jana.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
1547631084754.png
 
Poleni sana ndugu zetu wakenya na Hingera sana jeshi la Kenya kwa kazi nzuri ya kurudisha usalama wa Kenya.

Hata hivyo nchi za Afrika mashariki zifanye jitihada zaidi kuzuia uhalifu kutokea badala ya kupambana na wahalifu wakiwa tayari wameshafanya uharibifu.

pili kuna wanafanya propaganda "ukifa vitani Mungu atakupa bikira saba" nadhani wengi wa wanaojitoa mhanga ili wakutane na hao mabikira kitu ambacho ni upotshoji wa hali ya juu. Tuanze kufuatilia kwa karibu wote wanaoeneza propaganda za kidini zisizokuwa na ukweli bila kuangalia dhehebu atokalo.
Dunia isingekuwa na dhulma kusingekuwepo mauwaji kama hayo kila kukicha ,ni sababu watu wanadhulumiwa ndo mana wana revenge,, kuhusu mambo ya iman tizama vyakwako vinavyo kuhusu wewe na iman yako sijui kama dini gani mambo ya Iman zingine hayakuhus !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru wacha kupigana vita sio vyako
 

Attachments

  • IMG-20190116-WA0093.jpg
    IMG-20190116-WA0093.jpg
    62.3 KB · Views: 32
Back
Top Bottom