Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Mpambano wa Westgate siege wale magaidi hawakupatikana while walikua surrounded na KDF.....sitoshangaa na hawa sasa hivi tukashangaa tukio linaisha hawajaonekana na wakati inajulikana wapo inside the hotel.....

Kenya mnatakiwa kuboresha ulinzi wenu sana ukizingatia mmepakana na watu wa matukio huko juu. Maana ninyi mkizidiwa huko basi washafika bongo, kwa hawa maafisa usalama wanaotumia meno badala ya ujuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ndio maana umesema ni hadithi tu.....hapa tunaongelea uhalisia watu wametekwa wakatengwa kwa dini zao Christian wakachinjwa, muslims wakaambiwa wapo huru, au umesahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Two of them are already killed!
View attachment 996014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndezi kavaa raba kali kinoma, dah.

Katika vitu ambavyo hunishinda kutafakari ni pale mtu anapojiandaa hivi kwenda kufa! Tena kwenda kuua wasio na hatia nawe kufa kwa propaganda za kipuuzi!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanasema watafika mbele ya Allah , Pumbavu kabisa alieleta huu upuuzi wa Dini ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your brain is purely sophisticated. You are understanding hings critically. Wengi wanamisi hili. Huwa nacheka namna watu wanamisi hili. Hahaha! Umetisha.
 
Wanasema watafika mbele ya Allah , Pumbavu kabisa alieleta huu upuuzi wa Dini ..

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna aya yoyote ktk Quran inayothibitisha hilo Mkuu. Hizo ni propaganda zinazotumiwa na watu fulani kwa maslahi yao binafsi kwa kuwatumia hawa vijana wajinga.

Kwani hao wakubwa wao hawataki hizo ‘thawabu’? Kwanini wao huwa hawaendi badala yake wanawatumia vijana?
Tena wanalindwa kwa ulinzi mkali kwelikweli, na wakivamiwa wanapigania maisha yao.

Magaidi sio wenzetu ktk Uislam, hatuwatambui na wala hatuna ushirika nao. Ni vikundi vya kishetani vinavyotumia Dini yetu kama kichaka.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu ndezi kavaa raba kali kinoma, dah.

Katika vitu ambavyo hunishinda kutafakari ni pale mtu anapojiandaa hivi kwenda kufa! Tena kwenda kuua wasio na hatia nawe kufa kwa propaganda za kipuuzi!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kazi ya mtume, kama utakuwa unaelewa kidogo imani ni nini hutamulaum ata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya poleni kwa hili janga na hongereni kwa kuwa wahisha hao magaidi mbele ya mungu wao. Magaidi hakuna lugha nzuri ya kuongea nao zaidi ya kuwaua.
 
Kuna yule fat one wanasema ka escape

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Naona habari ulivyoileta kama unashangilia ushindi wa 14 kwa 2, basi hongera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…