No way walahi
Wanao sema hivyo ni walio toroka mirembe walahiHalafu kuna watu wanakwambia Tanzania Hakuna Amani
Ndio hapo sasa.Halafu kuna watu wanakwambia Tanzania Hakuna Amani
Wanao sema hivyo ni walio toroka mirembe walahi
Halafu kuna watu wanakwambia Tanzania Hakuna Amani
Kwani si ndo kwenye ndugu zako wengi?Kule east leigh? na Garissa lodge?Ohhh
Kaaazi kweli kweli walahi
Jambazi thubutuOndoeni neno Ugaidi jamani kwanini msiseme ni majambazi tu
Msitukane mamba Kabla hujavuka mto!Ndio hapo sasa.
Umeona walivyo kimbiana polisi wenu hahahaThe Bomb squad has safely detonated the explosive that was remaining in the 2nd car...
HahahahaHahahahaha
Anaekwambia Hakuna Amani ni akina Yericko Nyerere Tena Muda huo katoka kushiba ugali Na Matembele Yupo Tumbo wazi anachokonoa Meno kuondoa mabaki ya maharage Kwenye Meno kashika ki techno chake anabwabwaja tu
head H20Nilikuja mbio nikiwa na mpagawo kuwa ni magogoni area! Daah!
Hao nairobi wameonewa kwa ukatili huo.
Tanzania amani ipo wapi .
wakari RAIS WETU ANATAKA KUCHINJWA NA UPINZANI
hauoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaona mwisho wakeMsitukane mamba Kabla hujavuka mto!
Tambua Hawa magaidi walivyokuwa wapmbv
Hao wanao taka kuwa target na pia wamejichanganya na raia wazawa na wanaoathirika zaidi ni raia wazawa!
Hapa issue syo Amani ni ulinzi/usalama
Inasemekana kenya alishataadharishwa Kabla?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app