Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Kwani si ndo kwenye ndugu zako wengi?Kule east leigh? na Garissa lodge?
Wewe kijana mdogo jiongeze kidogo, mimi ni Goddess Isis
5DCB8C0E-7C64-4A95-BE20-DFBAAC4734EC.jpeg
 
na Huyo anayesema anataka KUCHINJWA
unamwambiaje?
Amani ipo ndio sababu Tundu Lissu alipopigwa Risasi ilikuwa breaking news ya Mwaka mzima wakati Somalia Mawaziri wanapigwa Kombora unakuta Kwenye gazeti page ya tatu huko huko Mogadishu kwa Kuwa Ni Matukio ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani ipo ndio sababu Tundu Lissu alipopigwa Risasi ilikuwa breaking news ya Mwaka mzima wakati Somalia Mawaziri wanapigwa Kombora unakuta Kwenye gazeti page ya tatu huko huko Mogadishu kwa Kuwa Ni Matukio ya kawaida
Hii Kali
 
Pole zao,lakini waache majigambo na majivuno.
waje huku wajifunze ujasusi na ulinzi

#My God Iz Awesome [emoji123]
Unasema au yanakutoka tu? Unaujua ugaidi wewe? Ofisi za balozi wa marekani nchini Tanzania ule uliolipuliwa unajua ulikuwa wapi? Poleni sana ndugu na jirani zetu kwa janga hili ambalo halina ujanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 995287

Milipuko na milio ya risasi yasikika katika eneo la 14 Riverside, Nairobi kunakopatikana hoteli ya DusitD2.

Milipuko miwili mikubwa ya risasi ilisikika na baadaye ufyatuaji wa risasi.

Watu kadha wamejeruhiwa na wanahudumiwa na maafisa wa Shirika la Msalaba Mwekundu wakisaidia na watu wengine wa kujitolea.

Mmoja wa majeruhi amesafirishwa kupelekwa hospitalini.

Maafisa wa polisi wamefika eneo hilo, katika jumba hilo ambalo lina hoteli yakifahari na afisi za kampuni mbalimbali.


View attachment 995288
View attachment 995289
View attachment 995290

Baadhi ya watu waliokwama kwenye vyumba vya jumba hilo wamekuwa wakiandika ujumbe kwenye mitandao wa kijamii wakieleza kwamba wamekwama, au kujificha.

Mkuu wa polisi wa uchunguzi wa jinai Bw George Kinoti ni miongoni mwa maafisa wakuu wa polisi waliofika kuratibu operesheni ya kuokoa watu waliokwama ndani.
======

Two explosions and gunfire were heard at an upscale hotel and office complex in Kenya's capital on Wednesday afternoon, said a woman working in a neighbouring building.

"We are under attack," another person in an office inside a complex in the Dusit hotel told the Reuters news agency, then hung up. Local television showed smoke rising from the area.

The Nairobi police commander Philip Ndolo said they had cordoned off the area around Riverside Drive due to a suspected robbery.

Flames and plumes of black smoke billowed into the sky from the parking lot of the compound where several vehicles were on fire, with scores of people fleeing the compound, some of them lightly injured.

Somalia-based armed group al-Shabab claimed responsibility for the attack.

"We are currently conducting an operation in Nairobi." the group's military operations spokesman told Al Jazeera.

The scenes in the Westlands suburb reminded Nairobians of a bloody attack in 2013 by the group when its fighters stormed the Westgate mall, killing at least 67 people.

The country faced a spate of attacks after it sent its army into Somalia in October 2011 to fight the al-Qaeda-linked group.

On April 2, 2015, another al-Shabab attack killed 148 people at the university in Garissa, eastern Kenya.
15 th january 2016 -15th January 2019 hmmm.
Hii sio coincidence hakunaga bahati mbaya.
Poleni sana majirani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom