Toa ufunuo wa ajali ya Ndege Bukoba ,Titanic ,Tetemeko Chile,Mabomu ya mbagala na Gongolamboto vipi huko nako Qu'ran imesababisha ?Ila km Qur'an isingechomwa na Sweden na Turkey isingekua msitari wa mbele kulalamika yote haya yasingetokea, hapo pia utapinga?
Erdogan anasema zaidi ya watu 5000 wamefariki dunia, pole kwa Marehemu walale wanapostahiri
Mkuu umeniquote vibaya, sorry km nmekukwaza kiongoziToa ufunuo wa ajali ya Ndege Bukoba ,Titanic ,Tetemeko Chile,Mabomu ya mbagala na Gongolamboto vipi huko nako Qu'ran imesababisha ?
Pumbavu nimeQuquote vibaya wapi wakati ni maneno yako mwenyewe kuwa kama Uturuki asingelalamika kuchomwa kwa Qur'an kuwa tetemeko lisingetokea na huo ndio msimamo wako tokea mwanzo wa uzi na kuitukuza Sweeden kwenye maafa haya halafu sasa unajifanya kujikataa ?Mkuu umeniquote vibaya, sorry km nmekukwaza kiongozi
Hivi katika nchi 70 zinazoenda kutoa misaada Turkey, Sweden ipo?na kuitukuza Sweeden kwenye maafa haya halafu sasa unajifanya kujikataa ?
Mimi hujanikwaza nilikuwa nakurekebisha uwe na utu na kujiheshimu maana hujui Kesho yako na hakuna aliyesalama na haya majanga hata mimi naweza kupata Daladala likapata ajali na kupoteza maisha sasa si vema mtu aanze kunikejeli kuwa kisa sikumuamini Yesu kristo kama mkombozi ndio maana sikupona kama wewe jinsi unavyoleta kejeli na files potufu kama vile unamamlaka juu ya yale yatakayo kutokea mbeleni..Mkuu umeniquote vibaya, sorry km nmekukwaza kiongozi
Unaona hapa ulivyomjinga comment yako hakihusiani na na jinsi nilivyocomment ?Mchezaji Christian Atsu ameokolewa kwenye kifusi huko Turkey amepona, mkurugenzi wao bado yupo chini ya kifusi hajatolewa hadi mda huu
Sawa mkuu samehe basi tupatane kiungwana, Sweden amejiunga katika zile nchi 70 kwenda kutoa msaada Turkey?Mimi hujanikwaza nilikuwa nakurekebisha uwe na utu na kujiheshimu maana hujui Kesho yako na hakuna aliyesalama na haya majanga hata mimi naweza kupata Daladala likapata ajali na kupoteza maisha sasa si vema mtu aanze kunikejeli kuwa kisa sikumuamini Yesu kristo kama mkombozi ndio maana sikupona kama wewe jinsi unavyoleta kejeli na files potufu kama vile unamamlaka juu ya yale yatakayo kutokea mbeleni..
Unawapangia watu cha kusema ?Mnaosema Mungu awarehemu sijui awaponye, kama kashindwa kuwaokoa na tetemeko atawezaje kuwaponya.
Sawa kiongozi, Sweden amejiunga na zile nchi 70 kwenda kutoa msaada Turkey?Naona sasa umefika kiwango cha ujinga ambacho haustaili kujibiwa inabidi nikupuuze kuanzia sasa maana inaonekana kabisa kuwa kichwani hamna kitu.
Sijuh ndiyo bei ya Michele itazidi kupandaMmh kila nchi na majanga yake
Sifàhamu ,kama yupo ni vizuri hata binadamu kikawaida mtaani wakati wa matatizo makubwa uadui unakuwa pembeni kwa muda ,Hivi katika nchi 70 zinazoenda kutoa misaada Turkey, Sweden ipo?
Bado natafakari sana maisha ya mwanadamu juu ya uso wa dunia maana yake nini?Dah kwa athari hizi hata watu elfu kumi na kitu watafika aisee hali ni mbaya.View attachment 2508510View attachment 2508511View attachment 2508512View attachment 2508513View attachment 2508514View attachment 2508515View attachment 2508516View attachment 2508518View attachment 2508519
Ajali ya juzi iliyotokea Tanga na kuua watu 20 kuna mtu alicomment dhihaka kuwa wakristo tumezidi kusafirisha maiti wakati ardhi yote ni ileile, sasa najiuliza hili tetemeko inakuwaje!!Hivi katika nchi 70 zinazoenda kutoa misaada Turkey, Sweden ipo?
Mkuu huko wanatakiwa waende waokozi mahiri vinginevyo hao wataalamu wetu wanaenda kuongeza idadi ya vifo huko.Hahaha kwahiyo hata kunyanyua yale matofali pia lazima uwe na PhD yake ?
"Kila nafsi ni yenye kuonja mauti, na hakika mambo yalivyo mtapewa ujira wenu kamili siku ya qiyama, na yeyote atakayeepushwa na moto na akaingizwa peponi basi hakika huyo amefaulu, na hayakuwa maisha ya dunia isipokuwa ni starehe tu ya udanganyifu."Bado natafakari sana maisha ya mwanadamu juu ya uso wa dunia maana yake nini?
Mbona kama dunia haitutaki sisi binadamu, mbona athari kama hizi ni nadra sana kutokea kwa viumbe wengine isipokuwa binadamu pekee?
BandiaUmemaanisha nini hapo, shape za bandia zipi? Si wamechomewa Qur'an au hujui?
Qur'an za bandia au?Bandia
Si waliipiga Moto 🔥 hii? Nasikia ukiipiga Moto 🔥 yanakukuta makuu sasa imekuaje waliochoma hawajapatwa na tetemeko Ila waliolalamika kuchomewa Qur'an ndio yamewakuta matetemeko?"Kila nafsi ni yenye kuonja mauti, na hakika mambo yalivyo mtapewa ujira wenu kamili siku ya qiyama, na yeyote atakayeepushwa na moto na akaingizwa peponi basi hakika huyo amefaulu, na hayakuwa maisha ya dunia isipokuwa ni starehe tu ya udanganyifu."
Qur'an 3:185
Shape mkuu, hakuna Quran bandiaQur'an za bandia au?