Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Sababu kuu ya kutokea matetemeko makubwa makubwa kule uturuki hususani hili la jana ni kwamba nchi ya uturuki ipo kati kati baina ya Arabian plate na Eurasian plate, kwaiyo haya maplate mawili huwa yana-converge each other au yana-collide other au kwa lugha nyepesi huwa yanagongana kwaiyo kile kitendo cha kugongana kwa haya maplates mawili ndio inapelekea ardhi kutetemeka na kupelekea athari mbalimbali ikiwemo kuharibika kwa majengo.
Rekodi yao ya mateteneko tangu kipindi Yesu akiwa bado yupo duniani hajapa Mbinguni, iko hapa

 
Sayansi ya tetemeko sijaielewaga kwa kweli
Itkee siku moja uyalundike pamoja mawe mengi yenye maumbo tofauti tofauti mahali fulani na ikiwezekana yawe katika umbo la pembetatu ya msonge na yafikie kimo cha kutosha. Baada ya hapo, pandisha juu ya kilele hicho cha mawe hayo halafu uone kitakachotokea. Yataanza kutafuta stability kwa kujipanga upya tofauti na ulivyokuwa umeyapanga awali ili yaweze kuwa kwenye hali inayoitwa "stable equillibrium"

Kitakachotokea ni kwamba yataanza kujpanga na possibly, kuanza kudidimia chini. Sasa jaribu ku-imagine kama ungekuwa umejenga kibada chako kwenye mawe hayo
 
Lile tetemeko la Bukoba liliathiri Tu nyumba za ghorofa?
Tetemeko lina uwezo wa kupita na kuharibu maghorofa huku nyumba za kawaida zikibaki salama
Kimo cha mawimbi (amplitude) ya tetemeko kikiwa kirefu mawimbi hayo yatalipita jengo la nyumba ya kawaida lisilokuwa na kimo kirefu bila kuligusa halafu yatakwenda kugongana na majengo mengine marefu yenye urefu sawa au kuzidi kimo cha mawimbi yenyewe.

Kwa hiyo linaweza kupita tetemeko ambalo mtu aliyekaa ghororfa ya kuanzia ya kwanza na kuendelea, atalisikia, lakini yule aliyekaa ground floor hawezi kulisikia. Ni kwa sababu litatikisa kwa kuyumbisha jengo, yaani jengo linakuwa linanesanesa.

Mfano wa matetemeko kama haya, ni kama ille lililowahi kutokea baharini hapa kwetu June 2012 usawa wa Kigamboni na kusababisha taharuki city centre kwa sababu maghaorofa yalianza kuyumba kwa kunesanesa
 
Hata tetemeko linatambulika pia sawa tu na vimbunga isipokuwa vifaa vya kufanya kazi hiyo ni ghali mno. Vifaa vikipatikana, ni kazi rahis tu na unaweza hata ukam-train mtoto wa darasa la saba akawa anajua, providea awe anajua kutumia Komputa. Ni swala tu la kusoma taafifa kutoka kwenye computer ambayo imewekwa mahali, kitu ambacho mtu yeyeote anayejua kutumia kompyuta anaweza akafanya

Possibly kuna haja ya kuishauri Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, waandae mpango wa kununua vifaa hivi hata baadaye. Ni rahisi mno kusoma taarifa vifaa vikishakuwepo, mtu yeyote anaweza akafundishwa na akasoma na hazihitaji utaalamu wowote

Still, watu wa mamlaka ya hali ya hewa tayari wao ni wataalamu wanaoweza kufanya kazi hiyo vifaa vikishakuwepo. Mama Kijazi anao wataalamu kibao pale ofisini kwake
Mkuu unataka kuniambia taifa kama Uturuki halina uwezo wa kununua vifaa vya namna hiyo?
 
Sipati picha lingetokea bongo janga kama la uturuki sijui kama wangeonekana watu kama Crimea na wenzie kuleta kejeli
Naomba nikushauir katika hili; stick with God; hata kama huamini kama Mungu yupo. Fanya tu ile pata potea ya kumuomba tu Mungu hili lisije likatokea milele kwenye nchi yetu, hata kama huamini kwamba Mungu yupo
 
Usiombee bhna ,tukatae hyo roho kwa damu ya yesu

Sent from my Infinix UX650 using JamiiForums mobile app
Usione tnajadili humu; baddhi yetu wanaweza kuwa ndiyo ma-agent wa haya matukio. Kwenye ulimwengu wa roho, umbali wa kutoka hapo ulipo wewe kwenda Uturuki, unalingana tu na umbali kati yako na kiti na meza zako unazotumia hapo ofisii kwako au nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom