Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
إنا لله وإنا إليه راجعونTumia lugha inayoeleweka
iinaa lilah wa'iinaa 'iilayh rajieun
Sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
إنا لله وإنا إليه راجعونTumia lugha inayoeleweka
Lile lililoitikisa Bukoba si ndioSeven point something limewahi kupiga hapa tanzania. Semabhalikuwa kwa muda mrefu
Mungu awatie nguvu mtoto na Wazazi wake,wako kwenye situation ambayo haina maelez😵nly God knows [emoji24]Kuna Mzazi kashindwa muokoa mtoto wake sababu alipo hakuna mtu anaweza fika.
Ila anamuambia arudie shahaada
AmenNaomba nikushauir katika hili; stick with God; hata kama huamini kama Mungu yupo. Fanya tu ile pata potea ya kumuomba tu Mungu hili lisije likatokea milele kwenye nchi yetu, hata kama huamini kwamba Mungu yupo
Wanao isipokuwa tu pengine labda ni maswala ya priority tu. Kwa sisi ndiyo shida kwa sababu inaweza ikachukua angalau Billion 20USD; kwa vile ambavyo vinaweza ku-detect kutokea mahali popote pale duniani. Kwa vile vya masafa mafupi vinavyoweza ku-detect angalau kutoka tuseme umbali wa km 4000; hivyo Mama Kijazi tunaweza kumpatia fedha yake na tukavinunuaMkuu unataka kuniambia taifa kama Uturuki halina uwezo wa kununua vifaa vya namna hiyo?
Tanzania si ipo uchumi wa kati?Naweza pata hiyo clip madam?
Au itachukua miaka elfu moja nyingine kurudi kwa Yesu au?Yesu anarudi hizo ndo dalili zenyewe!!
Luka 21:11
kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi; na njaa na tauni mahali mahali; na mambo ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
so sad,Kuna Mzazi kashindwa muokoa mtoto wake sababu alipo hakuna mtu anaweza fika.
Ila anamuambia arudie shahaada
Mkuu marekebisho mungu hana shingo wala kiuno.Huyo siyo mtabiri bali ni mtafiti kama walivyo watafiti wengine. Anatumia vifaa vinaitwa "Early Warning Systems" ambavyo vina uwezo wa kutoa taarifa za hatari inayokuja ardhini au baharini, siku kadhaa nyuma. Ubaya tu ni kwamba vinatoa taarifa ili mujiandae na dharura kwa sababu huwezi ukazuia tetemeko au kimbunga. Hata hivyo vinasaidia kwa sababu mnaweza kupata nafasi ya kujiandaa kwa kuhamia sehemu nyingine salama na kuondoka kwenye eneo la hatari
Haya majanga ya aina hii yasikie tu yakiwa yanatolewa taarifa, hutakiwi kabisa kuyashuhudia. Yaani unatakiwa umkabe Mungu shingoni kabisa na siyo kiunoni tu huku ukimwambia kuwa kwa matukio ya aina hii, Mungu wangu sikuachii shingo yako katika kuhakikisha kuwa unanilinda na matukio haya
Nasikia eti ukichomewa Qur'an wewe unaelalamikia kuchomewa Qur'an unapigwa na tetemeko la sekunde 90, kweli au uongo?Acha mbwembwe...si useme tu...yaani kuna watu wanajikutaga kama yaani Mungu ni wao peke Yao. Mnaboa sana. Kujitiaga ujuajii...na kuona wengine wakosajiii....
Kwani kua bega na bega na Putin ndio inasababisha tetemeko? Akili matope kweli hiiPoland kupeleka vikosi vya uokoaji!
Edogan atapata akili sasa asiwe bega kwa bega na Putin
Siku akiamua kuja kwako, atakuwa na viungo vyote ulivyo navyo wewe.Mkuu marekebisho mungu hana shingo wala kiuno.
Duh speechless.Siku akiamua kuja kwako, atakuwa na viungo vyote ulivyo navyo wewe.
Manoa asked the name of the man who came to him while he was in the field and the man responded to Manoa by asking him a question "Why do you want to know my name? It's beyond undersatnding.
Manoa angekutana na Malaika siku hiyo, Malaika angeweza kumjibu tu kwa kifupi kuwa mimi ni Malaika Gabriel; the messenger angel
Mkuu kuwa serious sisi tupeleke hao wataalamu 10 wa uokozi wa level za kidunia tunawatoa wapi, au unataka tukapate aibu huko duniani.TANZANIA TUPELEKE TEAM YA UOKOZI .
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Waliojitoa kupeleka msaada Turkiye na Syria katika uokozi wa janga la tetemeko la ardhi lililotokea hivi majuzi sio kwamba nchini kwao wamejitosheleza bali ni katika kuonyesha mshikamano na jamii ya kimataifa , tupeleke hata waokozi 10 tu kutoka kitengo cha maafa , hii itatuma ujumbe mkubwa sana duniani, pili watapata uzoefu na kujifunza mengi sana jinsi ya kukabiliana na majanga , nchi nyingi zilizopeleka teams za uokoaji wametumia fursa hiyo ili kupata uzoefu na kujifunza kwa wengine jinsi ya kukabiliana na majanga.
Nawasilisha.