Tetemeko laipiga Morocco, zaidi ya Watu 2000 wafariki Dunia, majeruhi waongezeka

Tetemeko laipiga Morocco, zaidi ya Watu 2000 wafariki Dunia, majeruhi waongezeka

Ikumbukwe Morocco ndio Wametujengea Msikiti mkuu wa BAKWATA pale Kinondoni

Sasa wamorocco wanaomba mchango wa Damu kufuatia WATU wengi sana kujeruhiwa kwenye tetemeko kubwa la ardhi

Nawatakia Sabato njema 😀

Kwako FaizaFoxy, The Boss na The Big Show
Suala la msaada halina uzio wa kiimani.

Hata walio makanisani na mapangoni wajitokeze kusaidia
 
Ikumbukwe Morocco ndio Wametujengea Msikiti mkuu wa BAKWATA pale Kinondoni

Sasa wamorocco wanaomba mchango wa Damu kufuatia WATU wengi sana kujeruhiwa kwenye tetemeko kubwa la ardhi

Nawatakia Sabato njema 😀

Kwako FaizaFoxy, The Boss na The Big Show
Ndugu mwandishi tukusaidiaje ulitaka tuende morroco kuchangia damu,,,, huna lolote unajificha udini umekutawala pole sana .
 
Watu wenye mawazo ya kipuuzi kama haya ndio walifanya hata wakoloni wakatutawala....
Labda ni kumeege kidogo habari rasmi kutokea Morocco;

"We urgently appeal to all citizens especially those in the city of Marrakech, to donate blood to assist the injuries,” the center said, adding that many of the victims will certainly need significant quantities of blood.
Preliminary data from the Ministry of Interior said that the devastating 7-magnitude earthquake killed at least 296 while at least 153 people sustained injuries"


Tetemeko ni kubwa ila limekumba eneo dogo la mji wa Marrakech
na ndio sababu Moroco wenyewe wanaomba Damu kutoka hapo hapo kwenye huo mji wa Marrkech japo miji mingine ya Morocco inaweza kusaidia; wewe unataka Damu itoke Nje ya Nchi?
Ngoja tupeleke Damu yenye rutuba ya mdudu
 
Watu wenye mawazo ya kipuuzi kama haya ndio walifanya hata wakoloni wakatutawala....
Labda ni kumeege kidogo habari rasmi kutokea Morocco;

"We urgently appeal to all citizens especially those in the city of Marrakech, to donate blood to assist the injuries,” the center said, adding that many of the victims will certainly need significant quantities of blood.
Preliminary data from the Ministry of Interior said that the devastating 7-magnitude earthquake killed at least 296 while at least 153 people sustained injuries"


Tetemeko ni kubwa ila limekumba eneo dogo la mji wa Marrakech
na ndio sababu Moroco wenyewe wanaomba Damu kutoka hapo hapo kwenye huo mji wa Marrkech japo miji mingine ya Morocco inaweza kusaidia; wewe unataka Damu itoke Nje ya Nchi?
Unazungumzia wakati waliokufa wakiwa 200 Wenzako wanakuletea habari za wafu zaidi ya 900
 
Dah majanga ya asili ni yetu sote! Mungu wa Mbinguni awanusuru walioumia; awape faraja walionusurika; na awapokee kwake waliotutangulia. Amen.
Mungu huyo hawajibiki na kuzuia tetemeko lisitokee!?
 
09 September 2023
Marrakech, Morocco
Tetemeko kipimo cha Richter 6.8 laipiga nchi hii ya Kaskazini Magharibi ya Morocco muda wa saa 5 usiku tarehe 8 September 2023

===========

Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu zaidi katika Mji wa #Marrakesh na mingine kadhaa.

Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia, Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa.
-
Miji mingine iliyoathiriwa na tetemeko hilo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant.

View attachment 2743781
View attachment 2743782
View attachment 2743783
1694235002204-png.2743738

Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza katika ripoti ya muda kuwa watu 296 wamekufa kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba Morocco Ijumaa jioni na 153 kujeruhiwa.

Ripoti iliyochukuliwa saa nane usiku huu 9.9.23 inaonyesha uharibifu wa nyenzo kadhaa katika maeneo mbalimbali yasiyo na watu katika majimbo ya Al Haous, Marrakech, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant yaliyopo milima ya Atlas

Taasisi ya Kitaifa ya Jiofizikia ilitangaza kuwa kitovu cha tetemeko la ardhi, kilichotokea kina kisicho kirefu toka ardhi ya juu takriban kilomita 8 chini ya ardhi, kilikuwa katika latitudo ya kaskazini ya digrii 30,961 na longitudo ya 8,413 ya magharibi, taarifa ilisema.


=============

MOROCCO: Idadi ya Vifo kutokana na Tetetemeko la Ardhi la ukubwa wa Richa 6.8 lililotokea Usiku wa kuamkia Septemba 9, 2023, imefikia 632, huku zoezi la Uokoaji likiendelea kwa waathirika waliofunikwa na vifusi.

Wizara ya Mambo ya Ndani Nchini humo imesema vifo vingi vimetokea katika maeneo ya Al-Haous, Marrakesh, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant, na kuongeza kuwa Watu wasiopungua 329 wamejeruhiwa.

=================

Morocco earthquake live news: At least 632 killed in quake near Marrakesh

At least 632 killed and 329 injured, according to Moroccan state media.

Dr Hesham Kharmoudi told Al Jazeera from Marrakesh that the number injured people have been increasing.

“Authorities and volunteers continue working to reach those who need help and those injured,” he said, adding that some of the affected areas are hard to reach.

He also said: “All medical personnel and departments have been prepared [for disasters]. The only problem is running out of blood bags reserve, so we call on the people to donate blood.”

'In almost every single town in Morocco last night, people sat outside their homes'

People spent the night on the ground outside in Marrakesh, 8 September 2023

People in towns across Morocco have spent the night sitting outside their homes after the earthquake, a British journalist living in the country says.

Speaking to BBC Radio 4's Today programme, Martin Jay said: "There were reports coming through on Moroccan media warning people not to go back into their homes," he said.

"This was a nationwide message that was put out by the authorities.

"So you have this weird evening [in] almost every single town in Morocco, [where] most people are sitting on the ground outside of their houses or apartment blocks, because they were afraid of the second earthquake which they predicted would come two hours later."

Pole kwa ndugu zetu kutoka Morroco waliokumbwa na janga hili
 
Ikumbukwe Morocco ndio Wametujengea Msikiti mkuu wa BAKWATA pale Kinondoni

Sasa wamorocco wanaomba mchango wa Damu kufuatia WATU wengi sana kujeruhiwa kwenye tetemeko kubwa la ardhi

Nawatakia Sabato njema 😀

Kwako FaizaFoxy, The Boss na The Big Show
Ukila utaliwa.
 
Back
Top Bottom