Tetemeko laipiga Morocco, zaidi ya Watu 2000 wafariki Dunia, majeruhi waongezeka

Tetemeko laipiga Morocco, zaidi ya Watu 2000 wafariki Dunia, majeruhi waongezeka

Acha ujinga. Majanga ya asili yalikuwepo kabla hata ya babu wa babu wa babu yako wa babu yake
Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعْضَ الَّذِي عَمِلُوا لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ ﴿٤١﴾

Ufisadi umedhihiri katika nchi kavu na baharini kwa sababu ya yale yaliyochuma mikono ya watu ili (Allaah) Awaonjeshe baadhi ya waliyoyatenda ili wapate kurejea.
[Ar-Ruwm 30: 41]


Na Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amekwishabainisha kuwa maafa yatakuwa ni mengi karibu na Qiyaamah pindi aliposema:


“Saa (Qiyaamah) haitosimama hadi elimu ifutwe, wakati kukimbia kwa kasi, #zilzala (#tetemeko la ardhi) kuzidi kwa wing, fitnah nyingi kudhihirika na al-Harj kuengezeka.” Ikaulizwa, “Ee Rasuli wa Allaah, nini hiyo al-Harj?” Akasema, “Al-Qatl, al-Qatl (mauaji).” [Imaam Ahmad]

Sikulazimishi uamini..
 
View attachment 2744080
Wakati zoezi la uokoaji likiendelea, maafisa wamesema Watu wengi bado wamenaswa kwenye vifusi vizito na idadi ya waliopoteza maisha inazidi kuongezeka kwa kasi ambapo hadi sasa imefikia Watu 1037
Pia, imeelezwa kuwa Miili ya Watu wengine iko katika maeneo ambayo ni magumu kufikika kwa urahisi huko Marrakech
Usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023, Morocco imepigwa na Tetemeko lenye kipimo cha Richa 6.8 ambalo kati ya Matetemeko makubwa kuwahi kutokea barani Afrika
============

09 September 2023
Marrakech, Morocco
Tetemeko kipimo cha Richter 6.8 laipiga nchi hii ya Kaskazini Magharibi ya Morocco muda wa saa 5 usiku tarehe 8 September 2023

===========

Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu zaidi katika Mji wa #Marrakesh na mingine kadhaa.

Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia, Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa.
-
Miji mingine iliyoathiriwa na tetemeko hilo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant.

View attachment 2743781
View attachment 2743782
View attachment 2743783
1694235002204-png.2743738

Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza katika ripoti ya muda kuwa watu 296 wamekufa kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba Morocco Ijumaa jioni na 153 kujeruhiwa.

Ripoti iliyochukuliwa saa nane usiku huu 9.9.23 inaonyesha uharibifu wa nyenzo kadhaa katika maeneo mbalimbali yasiyo na watu katika majimbo ya Al Haous, Marrakech, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant yaliyopo milima ya Atlas

Taasisi ya Kitaifa ya Jiofizikia ilitangaza kuwa kitovu cha tetemeko la ardhi, kilichotokea kina kisicho kirefu toka ardhi ya juu takriban kilomita 8 chini ya ardhi, kilikuwa katika latitudo ya kaskazini ya digrii 30,961 na longitudo ya 8,413 ya magharibi, taarifa ilisema.


=============

MOROCCO: Idadi ya Vifo kutokana na Tetetemeko la Ardhi la ukubwa wa Richa 6.8 lililotokea Usiku wa kuamkia Septemba 9, 2023, imefikia 632, huku zoezi la Uokoaji likiendelea kwa waathirika waliofunikwa na vifusi.

Wizara ya Mambo ya Ndani Nchini humo imesema vifo vingi vimetokea katika maeneo ya Al-Haous, Marrakesh, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant, na kuongeza kuwa Watu wasiopungua 329 wamejeruhiwa.

=================

Morocco earthquake live news: At least 632 killed in quake near Marrakesh

At least 632 killed and 329 injured, according to Moroccan state media.

Dr Hesham Kharmoudi told Al Jazeera from Marrakesh that the number injured people have been increasing.

“Authorities and volunteers continue working to reach those who need help and those injured,” he said, adding that some of the affected areas are hard to reach.

He also said: “All medical personnel and departments have been prepared [for disasters]. The only problem is running out of blood bags reserve, so we call on the people to donate blood.”

'In almost every single town in Morocco last night, people sat outside their homes'

People spent the night on the ground outside in Marrakesh, 8 September 2023

People in towns across Morocco have spent the night sitting outside their homes after the earthquake, a British journalist living in the country says.

Speaking to BBC Radio 4's Today programme, Martin Jay said: "There were reports coming through on Moroccan media warning people not to go back into their homes," he said.

"This was a nationwide message that was put out by the authorities.

"So you have this weird evening [in] almost every single town in Morocco, [where] most people are sitting on the ground outside of their houses or apartment blocks, because they were afraid of the second earthquake which they predicted would come two hours later."

Huu ni uthibitisho na ushahidi tosha wa kwamba, Mungu HAYUPO.
 
Mungu awajibe? Amuwajibikie nani? Who is above God so that God is accountable to?
Ulipodau kuwa Mungu awanusuru hao waliopatwa na janga hili ulimaanisha nini!?

Kwanini Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kaumba dunia yenye tetemeko?
 
View attachment 2744080
SEPT 10, 2023

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani, hadi sasa Watu 2,012 wamefariki dunia huku wengine 2,059 wakijeruhiwa na 1,404 wako katika hali mbaya kiafya.

Shirika la Afya Duniani limesema zaidi ya Watu 300,000 wameathirika na Tetemeko hilo lililopiga maeneo kadhaa ya Jiji la Marrakech ikiwemo Kijiji cha Asni ambacho kielezwa kuharibiwa karibia nyumba zote

Ni Tetemeko la pili kusababisha maafa makubwa ndani ya mwaka mmoja ambapo Miezi 7 iliyopita, takriban watu 50,000 walipoteza maisha kwa kupigwa na Tetemeko Nchini Uturuki
============

SEPT 9, 2023

Wakati zoezi la uokoaji likiendelea, maafisa wamesema Watu wengi bado wamenaswa kwenye vifusi vizito na idadi ya waliopoteza maisha inazidi kuongezeka kwa kasi ambapo hadi sasa imefikia Watu 1037.

Pia, imeelezwa kuwa Miili ya Watu wengine iko katika maeneo ambayo ni magumu kufikika kwa urahisi huko Marrakech.

Usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023, Morocco imepigwa na Tetemeko lenye kipimo cha Richa 6.8 ambalo kati ya Matetemeko makubwa kuwahi kutokea barani Afrika
============

09 September 2023
Marrakech, Morocco
Tetemeko kipimo cha Richter 6.8 laipiga nchi hii ya Kaskazini Magharibi ya Morocco muda wa saa 5 usiku tarehe 8 September 2023

===========

Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu zaidi katika Mji wa #Marrakesh na mingine kadhaa.

Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia, Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa.
-
Miji mingine iliyoathiriwa na tetemeko hilo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant.


Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza katika ripoti ya muda kuwa watu 296 wamekufa kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba Morocco Ijumaa jioni na 153 kujeruhiwa.

Ripoti iliyochukuliwa saa nane usiku huu 9.9.23 inaonyesha uharibifu wa nyenzo kadhaa katika maeneo mbalimbali yasiyo na watu katika majimbo ya Al Haous, Marrakech, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant yaliyopo milima ya Atlas

Taasisi ya Kitaifa ya Jiofizikia ilitangaza kuwa kitovu cha tetemeko la ardhi, kilichotokea kina kisicho kirefu toka ardhi ya juu takriban kilomita 8 chini ya ardhi, kilikuwa katika latitudo ya kaskazini ya digrii 30,961 na longitudo ya 8,413 ya magharibi, taarifa ilisema.


=============

MOROCCO: Idadi ya Vifo kutokana na Tetetemeko la Ardhi la ukubwa wa Richa 6.8 lililotokea Usiku wa kuamkia Septemba 9, 2023, imefikia 632, huku zoezi la Uokoaji likiendelea kwa waathirika waliofunikwa na vifusi.

Wizara ya Mambo ya Ndani Nchini humo imesema vifo vingi vimetokea katika maeneo ya Al-Haous, Marrakesh, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant, na kuongeza kuwa Watu wasiopungua 329 wamejeruhiwa.

=================

Morocco earthquake live news: At least 632 killed in quake near Marrakesh

At least 632 killed and 329 injured, according to Moroccan state media.

Dr Hesham Kharmoudi told Al Jazeera from Marrakesh that the number injured people have been increasing.

“Authorities and volunteers continue working to reach those who need help and those injured,” he said, adding that some of the affected areas are hard to reach.

He also said: “All medical personnel and departments have been prepared [for disasters]. The only problem is running out of blood bags reserve, so we call on the people to donate blood.”

'In almost every single town in Morocco last night, people sat outside their homes'

People spent the night on the ground outside in Marrakesh, 8 September 2023

People in towns across Morocco have spent the night sitting outside their homes after the earthquake, a British journalist living in the country says.

Speaking to BBC Radio 4's Today programme, Martin Jay said: "There were reports coming through on Moroccan media warning people not to go back into their homes," he said.

"This was a nationwide message that was put out by the authorities.

"So you have this weird evening [in] almost every single town in Morocco, [where] most people are sitting on the ground outside of their houses or apartment blocks, because they were afraid of the second earthquake which they predicted would come two hours later."

Ziezi la uokoaji linaendelea, lakini Yesu mwokozi amelala tu.

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote naye kalala bado.

Kazi ya kuokoa wanafanya wanadamu tu.

Hyo ni kwasababu habari za Mungu ni imani potofu.

Hakuna Mungu katika uhalisia
 
Poleni Sana
Huu Ni Msiba Mzito Kwa Ndugu Zetu
 
Mungu awasaidie Ndugu zetu!🙏
#I feel Morroco❤
Sasa awasaidie nini wakati alikuwa na uwezo wa kuzuia na Hakuzuia?

Ni kwamba, huko anakula bata baada ya mpango wake kutiki, na anajiapisha kuwa na bado Mtamtambua kwa jeuri yake.
 
Sasa awasaidie nini wakati alikuwa na uwezo wa kuzuia na Hakuzuia?

Ni kwamba, huko anakula bata baada ya mpango wake kutiki, na anajiapisha kuwa na bado Mtamtambua kwa jeuri yake.
Walishatukana hao! Na bado, Mungu wao ana mipango mingi dhidi yao.
 
Hao Saudi Arabia zile pesa nyingi wanazotumia kununulia wachezaji rejects toka Ulaya si sasa wazitumie kuwasaidia waislamu wenzao maanake wanadai waislamu wote ni ndugu.

Waarabu sio watu wa kutoa kwa wenye shida ila ni watu mabahiri sana na kwa hapo wazungu ni namba moja duniani kwa kutoa.

Na hao wamorocco kama ni pa kukimbilia wakiwa na shida basi ni Ulaya, Marekani au Canada lakini sio kwa waarabu wenzao kwani sanasana wakienda kwa waarabu wenzao watafurumishwa vibaya. Waarabu bure kabisa.
 
Nipende kutoa pole kwa wamorocco katika tukio hili baya lililoikumba nchi yao.

Nimepitia baadhi ya comments za watu kwenye thread hii na sikupenda kumquote mtu yeyote ili isijeleta picha mbaya, hivyo nipende kusema hili janga halijapangwa na Mwenyezi MUNGU.

Wala hausiki nalo hata kidogo, isipokua jambo hili limetengenezwa na binadamu walio na nia mbaya kabisa kuhusu dunia yetu. Wenye mipango mingi miovu ambapo baadhi wameishaitekeleza na mingine inasubiriwa wakati maalumu kutekelezwa.

MUNGU yupo na huwa anatupigania sana lakini hilo huwa hatulitambui, sababu sisi binadamu huwa tunaongozwa sana na hisia.

Hivyo nimalizie tu kusema tujifunze kusoma sana na kusali, sababu hata huu mfumo wetu wa maisha tunaoishi leo binadamu ni mfumo feki ambao MUNGU hakutupangia tuishi.
 
Ziezi la uokoaji linaendelea, lakini Yesu mwokozi amelala tu.

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote naye kalala bado.

Kazi ya kuokoa wanafanya wanadamu tu.

Hyo ni kwasababu habari za Mungu ni imani potofu.

Hakuna Mungu katika uhalisia

Maneno ya mwanadamu akishakuwa ameshiba ugali...
 
View attachment 2744080
SEPT 10, 2023

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani, hadi sasa Watu 2,012 wamefariki dunia huku wengine 2,059 wakijeruhiwa na 1,404 wako katika hali mbaya kiafya.

Shirika la Afya Duniani limesema zaidi ya Watu 300,000 wameathirika na Tetemeko hilo lililopiga maeneo kadhaa ya Jiji la Marrakech ikiwemo Kijiji cha Asni ambacho kielezwa kuharibiwa karibia nyumba zote

Ni Tetemeko la pili kusababisha maafa makubwa ndani ya mwaka mmoja ambapo Miezi 7 iliyopita, takriban watu 50,000 walipoteza maisha kwa kupigwa na Tetemeko Nchini Uturuki
============

SEPT 9, 2023

Wakati zoezi la uokoaji likiendelea, maafisa wamesema Watu wengi bado wamenaswa kwenye vifusi vizito na idadi ya waliopoteza maisha inazidi kuongezeka kwa kasi ambapo hadi sasa imefikia Watu 1037.

Pia, imeelezwa kuwa Miili ya Watu wengine iko katika maeneo ambayo ni magumu kufikika kwa urahisi huko Marrakech.

Usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023, Morocco imepigwa na Tetemeko lenye kipimo cha Richa 6.8 ambalo kati ya Matetemeko makubwa kuwahi kutokea barani Afrika
============

09 September 2023
Marrakech, Morocco
Tetemeko kipimo cha Richter 6.8 laipiga nchi hii ya Kaskazini Magharibi ya Morocco muda wa saa 5 usiku tarehe 8 September 2023

===========

Tetetemeko kubwa limetokea usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2023 likiwa na ukubwa wa Richa 6.8 na kusababisha uharibifu zaidi katika Mji wa #Marrakesh na mingine kadhaa.

Inaelezwa vifo vingi vimetokea kwenye maeneo ya miinuko na milima ambapo ni vigumu kufikia, Ripoti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeeleza kuwa watu 153 wamejeruhiwa.
-
Miji mingine iliyoathiriwa na tetemeko hilo ni Al-Haouz, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant.


Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza katika ripoti ya muda kuwa watu 296 wamekufa kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba Morocco Ijumaa jioni na 153 kujeruhiwa.

Ripoti iliyochukuliwa saa nane usiku huu 9.9.23 inaonyesha uharibifu wa nyenzo kadhaa katika maeneo mbalimbali yasiyo na watu katika majimbo ya Al Haous, Marrakech, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant yaliyopo milima ya Atlas

Taasisi ya Kitaifa ya Jiofizikia ilitangaza kuwa kitovu cha tetemeko la ardhi, kilichotokea kina kisicho kirefu toka ardhi ya juu takriban kilomita 8 chini ya ardhi, kilikuwa katika latitudo ya kaskazini ya digrii 30,961 na longitudo ya 8,413 ya magharibi, taarifa ilisema.


=============

MOROCCO: Idadi ya Vifo kutokana na Tetetemeko la Ardhi la ukubwa wa Richa 6.8 lililotokea Usiku wa kuamkia Septemba 9, 2023, imefikia 632, huku zoezi la Uokoaji likiendelea kwa waathirika waliofunikwa na vifusi.

Wizara ya Mambo ya Ndani Nchini humo imesema vifo vingi vimetokea katika maeneo ya Al-Haous, Marrakesh, Ouarzazate, Azilal, Chichaoua na Taroudant, na kuongeza kuwa Watu wasiopungua 329 wamejeruhiwa.

=================

Morocco earthquake live news: At least 632 killed in quake near Marrakesh

At least 632 killed and 329 injured, according to Moroccan state media.

Dr Hesham Kharmoudi told Al Jazeera from Marrakesh that the number injured people have been increasing.

“Authorities and volunteers continue working to reach those who need help and those injured,” he said, adding that some of the affected areas are hard to reach.

He also said: “All medical personnel and departments have been prepared [for disasters]. The only problem is running out of blood bags reserve, so we call on the people to donate blood.”

'In almost every single town in Morocco last night, people sat outside their homes'

People spent the night on the ground outside in Marrakesh, 8 September 2023

People in towns across Morocco have spent the night sitting outside their homes after the earthquake, a British journalist living in the country says.

Speaking to BBC Radio 4's Today programme, Martin Jay said: "There were reports coming through on Moroccan media warning people not to go back into their homes," he said.

"This was a nationwide message that was put out by the authorities.

"So you have this weird evening [in] almost every single town in Morocco, [where] most people are sitting on the ground outside of their houses or apartment blocks, because they were afraid of the second earthquake which they predicted would come two hours later."

Ndugu zao wa Ulaya wamekaa kimya kbs juu ya hili.
 
Ndugu zao wa Ulaya wamekaa kimya kbs juu ya hili.
Mkuu kwa wazungu wao pekee ndio wanaotoa misaada sana likija zoezi la uokoaji na hata ubinadamu tu

Mpaka sasa kuna mataifa mengi ya Ulaya yameenda, je huoni Spain wanajeshi na mbwa wa kutafuta miili ya watu na Royal Airforce ya 🇬🇧 wamepeleka misaada kibao

Kuna volunteers wengi wameondoka huku ulaya kwenda kusaidia ila sisi hata gunia la Unga wa ngano hatujawapa

Likija suala la msaada waafrika hatuna kwani kuna watu wanaona bora kumtajirisha mtu anaewadanganya kuwa pepo ni yao ila masikini kipofu aliekaa barabarani anampita kama hamuoni

Majanga yapo kila mahali tuwe na huruma kwani hata sisi yanaweza kutukuta
 
Back
Top Bottom